SI KWELI Watu wamepigana wakati wa Usaili wa Kada ya Afya nchini Tanzania

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Sawa mkuu
 
Mkuu unaweza kuta kazi yenyewe ni stress tosha kwa kuzingatia mazingira kama hayo unayoona. I believe in judgement everything should be put fairy not in favor to benefit the less
 
Binti umesota mtaani, ajira ngumu, umepata bahati kuitwa interview unaropoka maneno ya kijinga kijinga tena kwa kiongozi wako.

No wonder tuna maendeleo ya namna hii kama waajiriwa wemyewe ndio hawa🚮🛃
 
nimepatwa na hasira, nmejikuta namhurumia dada tuu... ningekuwepo huyo msimamizi ningemsubiria atoke 😕 nje nimpe mkono asingeamini yaani
 
Si ndio alitakiwa akashitaki? Hapo ameshitaki au amehukumu.

Punguza mihemko hapo nani yuko katika position ya kupoteza kisheria?

Usifikiri hapa kuna mtu nashindana nae au najaribu kutunishiana misuli na mtu.
Wote kisheria wanapoteza
Mmoja kashambulia, mwingine amedharirisha kwa lugha chafu
 

Naam, huu ndio uhalisia wenyewe.

Haswa hawa viumbe ndio wenye kauli mbovu sana pasi na kujali utu wa mtu.

Kuna namna tujiwekee mipaka wenyewe heri kumuadabisha ili wengine waweze kuheshimu.
 
Tatizo wazazi tumesahau wajibu wetu kuwafundisha watoto nidhamu na adabu, hata wale waliofundishwa adabu bado wengi ni vichomi. Inasikitisha, hasa kama mzazi kuona binti yako anapitia udhalilishaji wa namna hiyo wakati akiwa na msongo wa kupata ajira.

Japo, huyo mwamba alitakiwa kutawala hisia zake, haijalishi aliambiwa kitu gani.
 
Binti umesota mtaani, ajira ngumu, umepata bahati kuitwa interview unaropoka maneno ya kijinga kijinga tena kwa kiongozi wako.

No wonder tuna maendeleo ya namna hii kama waajiriwa wemyewe ndio hawa🚮🛃
Huwa tunawapa huruma wale walioko kwenye disadvantage, Hii haiapply kwa watu ambao hawana empathy kama wewe na wenzio.

It was nice having a conversation with you, bye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…