Watu wanaamini ukiwa na pesa ndio unakuwa na amani kati mapenzi /mahusiano

Watu wanaamini ukiwa na pesa ndio unakuwa na amani kati mapenzi /mahusiano

Bolotoba

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2024
Posts
3,424
Reaction score
7,706
Napata sana maswali mawili ya msingi kwanini Suleiman aliomba hekima na si utajiri?

Lakini kwanini pamoja na kuwa na wale wanawake wote na masuria 300 lakini mwishoni akiona ni batili

1.Mengi aliachana mke wake kisa ilikuwa usaliti inasemekana mke wake alikuwa akitoka na Daktari wao wa nyumbani
2.Billgate aliachana na mke wake kitu kitu kikubwa yule mwanamama alichokisema ni umbali wao,muda wote wapo serious kusaka pesa,
3.Gibson tyrese na mkewe alidai alivunja ndoa sababu hakuwa na Hisia na mumewe bali alifata umaarufu kwa tyrese
4.Asamoah gyan na mkewe
5.Fifty cent aliachwa na mkewe kisa mwana ana nguvu sana kitandani
6.Diamond platnumz na zari. Zari alidiriki kutembea na Peter wa P square na sio kwamba alifata pesa kwa jamaa na bado katoka na gym trainer wake wa nyumbani tena ndani kwa diamond
7.Sarah wa harmonize alitoka na mmasai mlinzi wao🤣Dah and sara had everthing, also harmonize had money and fame

Nadhani wadau tu tukubaliane pesa haiwezi kuleta amani kwenye mapenzi /mahusiano
 
Pesa sabuni ya roho ila si mapenzi 😁 😁 😁
 
Pre determine level of happiness ( default happiness) hapa namaanisha kuwa FIKRA zinatabia ya kurudi kwenye hali yake ya kawaida ya furaha hata uwe na mabilioni au uwe na mke mzuri kiasi gani utakuwa na initial excitement tu utafurahia jambo au kitu kwa muda mfupi then FIKRA zitarudi kwenye default mode level ya happiness utaona kawaida tu, na huu ni ujanja wa FIKRA zitakwambia ili uwe na furaha kama ya mwanzo fanya jambo hili na lile au tafuta kitu kingine au ongeza zaidi ndo utakuwa na furaha zaidi huo mtego huu kwa maana vitu vya nje havijawahi kutosheleza furaha hata huvipate kwa ukubwa gani zaidi vinaleta tabia mbaya mtu kuwa fisadi, kujiingiza kwenye wizi ili apate zaidi au kuwa mzinzi zaidi ili tu kufanikisha furaha.
 
Pesa ina kupa options, How happy you could be having options to go wherever place you want in this world without worrying for money?

Tutafute pesa
 
Bora niwe na pesa afu niachwe kuliko sina pesa afu tena niachwe, yani hapo ni maumivu mara mbili 😂
 
Back
Top Bottom