Watu wanadhani umri wangu ni mkubwa tofauti na umri wangu halisi, je sababu yaweza kuwa nini?

Nina 45 lakini sipewi shikamoo na watoto wa 2000,nina binti ana miaka 15 na mchepuko wangu una miaka 18 na haunipi shikamoo
Sasa mimi mwenyewe ni mtoto wa 2000 ila wenzangu wa 2000 wananiita bro tena kwa heshima kubwa....
Hapo ndipo nabaki mdomo wazi
 
Pole sana
 
Pombe hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…