Watu wanadhani umri wangu ni mkubwa tofauti na umri wangu halisi, je sababu yaweza kuwa nini?

Jina ndy ni la babu. Lakni sidhani kama naweza kuwa na wazee ndani yangu, hilo silielewi na sikubali pia.
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†Haya mambo ya kiroho zaidi mkuu, mpaka uwe deep spiritually. jiulize nimejuaje khs kuwa na jina la babu. Anyway ifanyie kazi mapema maana huko mbele ndio itakusumbua zaidi. Tumevipitia so tunavijua
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Shida zinazeesha nyie,kuna siku nilienda benk kuna taarifa najaza jamaa naona anaandika mwaka wa kuzaliwa 91,alivochoka sasa utasema wa 80
Mimi sijachoka kimwili nipo sawa tu, huwenda labda zipo sababu nyingine
 
Shida inaanzaga kwenye komwe na uwalaza
 
Au una mawazo sana umedhofisha nuru ya uso wako
 
Unaa mvi
 
Hii tafiti imefuata kanuni za kiutafiti kisayansi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…