Watu wanadhani umri wangu ni mkubwa tofauti na umri wangu halisi, je sababu yaweza kuwa nini?

Watu wanadhani umri wangu ni mkubwa tofauti na umri wangu halisi, je sababu yaweza kuwa nini?

Kiingereza hakisaidii.

COCA CORA inazeesha mbaya sana, unakuwa kijana mwenye uso wa kikongwe.

Na zaidi inavuruga BLOOD PH, damu inajaa matakataka matupu.
Yani wewe bhana tuongea Coca unaleta tena mambo ya kingereza anyway...alafu sio COCA CORA ni "COCA COLA"

Hiyo COCA CORA yako unayosema wewe ndio itakua inazeesha [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acha bangi

Haya majani ya Arusha ni ya ajabu sana

🔹Mtumiaji wa majani haya sura hukongoroka na kukomaa Sana na hata kama ni kijana mdogo huonekana kama ni Mzee mstaafu( mfano angalia vibaka wa mjini)

🔹 Mbaya zaidi Mtumiaji wa majani hayo haramu huendelea kujiona kijana kwa Mavazi, kutembea, na hata kuongea hata akifikisha miaka 80 yeye kuendelea kuwa kwenye vijiwe vya watoto wa miaka 20 huku Kila kitu akifanya kitoto kitoto

ACHA BHANGI
Kwenye bangi unanionea kaka, situmii na sijawahi kutumia kbsa
 
Shekhe shkamoo za namna hiyo siyo sawa, huenda ukawa umenizidi parefu kwenye umri.
Mi na miaka 35+ ila kuna watu wenye miaka 49, 50 nakuendelea wananipa shkamoo afu fresh tu. Tena wanaongezea na mzee kwa mbele yani shkamoo mzee. Mimi kwa mbwembwe na amani huku moyo ukiwa mweupe naitikia maarahaba kijana wangu hujambo. 😂
 
Ntajitahidi kaka, pia nitafanya uchunguzi zaidi kuhusu Caffeine.
Caffeine inazeesha ukiachilia mbali athari inayoleta kwa moyo wako. Pia zingatia unavyojiweka hasa mavazi na unadhifu.

Kuna aina za nguo mtu ukivaa hata kama kijana utaonekana mzee tu.
 
Nimekuelewa vizuri sana, naamini zipo njia nzuri za kusaidia kupambana na stress. Unaweza kunisaidia japo chache tu?

Ndio zipo mkuu , Ila ingekuwa vizuri ungesema mtiririko wako mzima wa maisha upoje.

Mfano:
Mahusiano
Afya ya mwil na akili
Kazi
Uchumi

Ungesema sehemu inayokupa stress ni IPI ili tuweze kuchagua njia bora za kukupatia ili kuwa sawa
 
😭😭😭 Kwenye bangi unanionea kaka, situmii na sijawahi kutumia kbsa
Tatizo bado unapenda vitoto ndio maana hupendi kuonekana mkubwa. Ukubwa ni raha sana ukiwa na akili za kikubwa hata kama unaumri mdogo, ila ukiwa na akili za kitoto kamwe huwezi kufurahia ukubwa hata kama unaumri mkubwa.
 
Caffeine inazeesha ukiachilia mbali athari inayoleta kwa moyo wako. Pia zingatia unavyojiweka hasa mavazi na unadhifu.

Kuna aina za nguo mtu ukivaa hata kama kijana utaonekana mzee tu.
Ni kweli kabisa usemalo, japo sidhani kama muonekano ni tatizo labda lifestyle yangu tu maana kwenye hilo nipo tofauti sana.
 
Hapana nipo fresh tu, tena watoto wa 2000 huwa wanajileta sana ila sasa nikifikira maokoto ndy mzuka unakata.

Kiufupi usitazame kupendwa na mademu hiyo haina maana kwa maisha yako .

Umri wako na mwonekano vinabidi visitofautiane na kikubwa zaidi well being ndo kila kitu.

Kufatwa na wanawake ni ishara Kuwa wewe ni MTU cheap Sana

So usiwekeze huko wekeza katika wewe baadae utapata the right choice na sio kujisifu kuwa unafatwa na 2000s hiyo sio sifa.
 
Nimekuwa nikipewa salamu na vijana wenzangu mpaka inafika pahala ncheka tu na kushindwa ku respond, wengi wanadhani umri wangu ni mkubwa kufika 30. Kumbe bado hata 25 sijafika.

Huwa najiuliza sababu ni nini, kama umbo la mwili sina umbo kubwa kivile. Labda wadau mnipe mawazo yenu maana hii hali inanichangaya kichwa wakati mwingine.
Shida hunywi wala huuzi madafu kama mimi muuza .adafu wa Ikulu.
 
Nimekuwa nikipewa salamu na vijana wenzangu mpaka inafika pahala ncheka tu na kushindwa ku respond, wengi wanadhani umri wangu ni mkubwa kufika 30. Kumbe bado hata 25 sijafika.

Huwa najiuliza sababu ni nini, kama umbo la mwili sina umbo kubwa kivile. Labda wadau mnipe mawazo yenu maana hii hali inanichangaya kichwa wakati mwingine.
Picha
 
Ndio zipo mkuu , Ila ingekuwa vizuri ungesema mtiririko wako mzima wa maisha upoje.

Mfano:
Mahusiano
Afya ya mwil na akili
Kazi
Uchumi

Ungesema sehemu inayokupa stress ni IPI ili tuweze kuchagua njia bora za kukupatia ili kuwa sa

Tatizo bado unapenda vitoto ndio maana hupendi kuonekana mkubwa. Ukubwa ni raha sana ukiwa na akili za kikubwa hata kama unaumri mdogo, ila ukiwa na akili za kitoto kamwe huwezi kufurahia ukubwa hata kama unaumri mkubwa.
Hapo nimekuelewa kaka, umenifanya nitafakari sana. Kuanzia sasa itabidi niishi kwa kufurahia ukubwa hatakama watu ndy wananipa huo ukubwa.
 
Mavazi yangu ya kawaida ila sivai kibishoo, navaa official muda mwingi. Huenda yaweza kuwa sababu pia.
Tuwekeze picha ya kufanana na wewe
Screenshot_20240429-145452.png


Weka hata ya msaada ya mtandao
 
Ndio zipo mkuu , Ila ingekuwa vizuri ungesema mtiririko wako mzima wa maisha upoje.

Mfano:
Mahusiano
Afya ya mwil na akili
Kazi
Uchumi

Ungesema sehemu inayokupa stress ni IPI ili tuweze kuchagua njia bora za kukupatia ili kuwa sawa
Kuchagua sehemu moja ni ngumu maana mfumo wa maisha ya sasa mambo mengi yanaingiliana. Lakni ntajitahidi na kujifunza zaidi kuhusu stress management. Nashukuru sana kwa ushauri na maelezo yako mkuu 🙏
 
Kuchagua sehemu moja ni ngumu maana mfumo wa maisha ya sasa mambo mengi yanaingiliana. Lakni ntajitahidi na kujifunza zaidi kuhusu stress management. Nashukuru sana kwa ushauri na maelezo yako mkuu 🙏


Wewe inaonekana ni introvert MTU mwenye kupenda kukaa kimya?

Hii ni kweli na unapenda wisdom Hekima?

Is this true?
 
Back
Top Bottom