Nafikiri Zaidi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 516
- 684
Yani wewe bhana tuongea Coca unaleta tena mambo ya kingereza anyway...alafu sio COCA CORA ni "COCA COLA"Kiingereza hakisaidii.
COCA CORA inazeesha mbaya sana, unakuwa kijana mwenye uso wa kikongwe.
Na zaidi inavuruga BLOOD PH, damu inajaa matakataka matupu.
Hiyo COCA CORA yako unayosema wewe ndio itakua inazeesha [emoji23][emoji23][emoji23]