Watu wanadhani umri wangu ni mkubwa tofauti na umri wangu halisi, je sababu yaweza kuwa nini?

Watu wanadhani umri wangu ni mkubwa tofauti na umri wangu halisi, je sababu yaweza kuwa nini?

Nimekuwa nikipewa salamu na vijana wenzangu mpaka inafika pahala ncheka tu na kushindwa ku respond, wengi wanadhani umri wangu ni mkubwa kufika 30. Kumbe bado hata 25 sijafika.

Huwa najiuliza sababu ni nini, kama umbo la mwili sina umbo kubwa kivile. Labda wadau mnipe mawazo yenu maana hii hali inanichangaya kichwa wakati mwingine.
Punguza "kula chumvi"
 
Akuna cha Coca wala Pepsi mkuu ......acha kumdanganya huyu dogo ....Pombe nagonga vzr Nakula Vizuri ..Sijisifii ila kazini tu kuna madem kibao wananifukuzia.
Jidanganye na hiyo mikemikali, soda, pombe, sigara, stress, vyakula vya kisasa, mazoezi makali na nyama nyekundu ni bomu linalokulipukia kila siku kukuzeesha kabla ya muda wako.

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
 
Weka picha tuone ulivyopigwa na maisha! Hata akina Joti na Mpoki walikuwa wazee lakini walivyopata hela wakawa vijana!
Sijasema nimepigiwa na maisha, ila ningependa kufahamu sababu ni ipi kuonekana mkubwa. Kama una sababu unaifahamu unaweza kueleza hapa.
 
Iyo hali ndo Niko nayo roughly watu wanadhini Nina 45+ kumbe 33 kazi ngumu zinakomaza sana
mi Nina 36 huwezi amini popote napoenda utasikia father twende hao ni boda na makonda nikisema nitafte dogo dogo utasikia wee mzee si una familia yako[emoji38][emoji38][emoji38] nilichojifunza binafsi katika maisha nimepitia misoto sana Yani sijawahi kupata uraini kwahiyo hata Nuru kwenye uso wangu haipo ishapotea ...
 
Back
Top Bottom