Watu wanadhani umri wangu ni mkubwa tofauti na umri wangu halisi, je sababu yaweza kuwa nini?

Watu wanadhani umri wangu ni mkubwa tofauti na umri wangu halisi, je sababu yaweza kuwa nini?

Nimekuwa nikipewa salamu na vijana wenzangu mpaka inafika pahala ncheka tu na kushindwa ku respond, wengi wanadhani umri wangu ni mkubwa kufika 30. Kumbe bado hata 25 sijafika.

Huwa najiuliza sababu ni nini, kama umbo la mwili sina umbo kubwa kivile. Labda wadau mnipe mawazo yenu maana hii hali inanichangaya kichwa wakati mwingine.
Uwe unawawahi wewe kuwaamkia.
 
Nimekuwa nikipewa salamu na vijana wenzangu mpaka inafika pahala ncheka tu na kushindwa ku respond, wengi wanadhani umri wangu ni mkubwa kufika 30. Kumbe bado hata 25 sijafika.

Huwa najiuliza sababu ni nini, kama umbo la mwili sina umbo kubwa kivile. Labda wadau mnipe mawazo yenu maana hii hali inanichangaya kichwa wakati mwingine.
Tatizo mvinyo.
 
Sina doa usoni kaka, ngozi yangu ipo vyema kabisa wala sijawahi tumia dawa yoyote ya ngozi
Basi utakuwa na cheo kikubwa kazini kwako au una maendeleo makubwa kiuchumi maana watu wengi kua na maendeleo makubwa ni sawa na ukubwa wa umri.Ukiwa mwanaume utaitwa mzee hata kama ni kijana,ukiwa mwanamke utaitwa mama hata kama ni dada simply because umeolewa na mtu mwenye pesa au ni boss kazini kwako.
 
Nimekuwa nikipewa salamu na vijana wenzangu mpaka inafika pahala ncheka tu na kushindwa ku respond, wengi wanadhani umri wangu ni mkubwa kufika 30. Kumbe bado hata 25 sijafika.

Huwa najiuliza sababu ni nini, kama umbo la mwili sina umbo kubwa kivile. Labda wadau mnipe mawazo yenu maana hii hali inanichangaya kichwa wakati mwingi
Kuna mbabu anaishi ndani yako, kumtoa ni kazi sana. Je ulirithishwa jina la babu? Au mzee yeyote wa ukoo? Pole mwe
 
Basi utakuwa na cheo kikubwa kazini kwako au una maendeleo makubwa kiuchumi maana watu wengi kua na maendeleo makubwa ni sawa na ukubwa wa umri.Ukiwa mwanaume utaitwa mzee hata kama ni kijana,ukiwa mwanamke utaitwa mama hata kama ni dada simply because umeolewa na mtu mwenye pesa au ni boss kazini kwako.
Hayo uliyosema ni kweli, lakni kuhusu uboss na cheo huko bado sijafika. Naishi kawaida tu uswazi.
 
Back
Top Bottom