Watu wanajua kutunza aisee

Watu wanajua kutunza aisee

Kuiyona scania namba d sio tatizo huwenda ndio limenunuliwa muda huu ,changamoto ni hiyo gari hapo juu kwa maaana wakati usajili namba A unamalizika hiyo gari ilikuwa haijatengenezwa au tuseme bongo hazikuwepo swali ameipata wapi , namm nilishakutana nalo hilo gari sinzaa jamaa akaniambia umeona hiyo hapo kuna namna
Hata mm niliiyona sinza hiyo yenye namba A

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Kuiyona scania namba d sio tatizo huwenda ndio limenunuliwa muda huu ,changamoto ni hiyo gari hapo juu kwa maaana wakati usajili namba A unamalizika hiyo gari ilikuwa haijatengenezwa au tuseme bongo hazikuwepo swali ameipata wapi , namm nilishakutana nalo hilo gari sinzaa jamaa akaniambia umeona hiyo hapo kuna namna

Ushaambiwa gari za TEETH.
 
hahahaaaaaaaaa 😂😂😂😂 hadi umehisi kibao cha gari ni feki
Wapo wanao fake ha hasa wasiojulikana, kwamfano kuna cruiserfulani V8 new model ina namba za ACC huko
 
wakati usajili namba A unamalizika hiyo gari ilikuwa haijatengenezwa au tuseme bongo hazikuwepo swali ameipata wapi
siyo wote wananunua second hand cars kijana. Angalia gari za model hiyo zilianza kutengenezwa lini? Mfano IST ziko miaka mingi nyuma (zile first generation), huku kwetu gari huanza kuingia kwa wingi baada ya miaka kama kumi baada ya kutengenezwa
 
Kwamba TISS inanunua na kutumia magari kama hayo? Hivi nyie watu huwa mnawaza nini? Mnaamini kuwa hawa watu ni so reckless kutumia vitu ambavyo ni suspicious hata kwa mtu wa kawaida tu? Yaani watake kuficha identities zao lakini wanazificha kwa kutumia uficho ambao ni so obvious and suspicious?
Unabisha nini sasa?

Juzi tu hapa nmeona hizi landcruiser 300 series ikiwa na usajili wa namba A
 
Back
Top Bottom