Watu wanalala bwana! Drake analalia godoro lenye thamani ya takriban Tsh. Bilioni 1

Watu wanalala bwana! Drake analalia godoro lenye thamani ya takriban Tsh. Bilioni 1

usingizi ni usingizi tu,uwe wa kwenye mkeka au kitanda cha kamba,wote tutaota ndoto mbaya na nzuri pia
 
Sasa mlitaka atumiaje pesa yake? Je mlikuwepo wakati anaihangaikia? Let him enjoy life ni sasa na sio hadi usubiri vitu visivyojulikana wala kuonekana.

Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
 
Mi sijaona sababu ya kumdiss jamaa mbona! Ukiwa na pesa nyingi na huna matumizi vitu km hv ni kawaida...ww hiyo cm yk unayotumia kutype lbd inaanzia laki 3 mpk milion kadhaa kwa wale wa eleven pro sijui note something na S series ila kuna raia atakwambia mi ninunue cm ya lak5 kwani za 80 haziingii whatsap?? Kuna wakati unaweza kodi bajaj mtu akasema yaani hapo na hapo tu anapanda bajaji!! Hiyo buku3 si bora ninunue sabuni? So tusipanic its all about mali na matumizi kwa matakwa ya mtafutaji mwenyewe!
Brother utakuja kuwa tajiri mwenye Mali nyingi sana na utaishi maisha utakayotaka believe me....Work hard muombe MUNGU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu weusi tuna matatizo sana kwenye matumizi. Badala awekeze for the future yeye anaspend na kutajirisha wengine. Hajifunzi kwa kina Muhamed Ali kina Mike Tyson na wengine walivyfilisika?

Wazungu matajiri kina Bill Gates wanavaa kawaida na wanalala kawaida tu
 
Acheni mawazo ya kimaskini na roho ya kwann waafrika na watanzania wenzangu ndio maana siku zote tunabaki masikini na kusononeka huku furaha yetu ikiwa ni kuona wale wenye nazo wakifirisika...Drake anaishi kwenye nyumba yenye thamani ya Tsh.

Billion 20 halafu wewe chokoraa unayeishi kwenye kibanda cha kupanga unalipa kodi elfu 50 kwa mwezi unasema hajawekeza ulitaka awekeze kwenye nn labda. Nashangaa mtu anaropoka eti kina Bill Gate wanavaa kawaida na kuishi maisha ya kawaida Sasa chukua hii siri zile nguo wanazovaa usichukulie poa kwa muonekano zile nguo ni za garama mno na wale hawanunui nguo dukani wanatengenezewa maalum kwa ajili yao na wanaishi maisha ya garama mno ambayo hata kina Drake hawagusi.
Watu weusi tuna matatizo sana kwenye matumizi. Badala awekeze for the future yeye anaspend na kutajirisha wengine. Hajifunzi kwa kina Muhamed Ali kina Mike Tyson na wengine walivyfilisika?

Wazungu matajiri kina Bill Gates wanavaa kawaida na wanalala kawaida tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu weusi tuna matatizo sana kwenye matumizi. Badala awekeze for the future yeye anaspend na kutajirisha wengine. Hajifunzi kwa kina Muhamed Ali kina Mike Tyson na wengine walivyfilisika?

Wazungu matajiri kina Bill Gates wanavaa kawaida na wanalala kawaida tu
Kwa msanii kufanya matumizi ya aina hii ni njia mojawapo ya kujitangaza na kubaki midomoni mwa watu. Hivi tunavyomzungumzia ni pesa kwake.


KUMBUKA: Kampuni hazifanyi matangazo na msanii asiyefuatiliwa na jamii.
 
Acheni mawazo ya kimaskini na roho ya kwann waafrika na watanzania wenzangu ndio maana siku zote tunabaki masikini na kusononeka huku furaha yetu ikiwa ni kuona wale wenye nazo wakifirisika...Drake anaishi kwenye nyumba yenye thamani ya Tsh.

Billion 20 halafu wewe chokoraa unayeishi kwenye kibanda cha kupanga unalipa kodi elfu 50 kwa mwezi unasema hajawekeza ulitaka awekeze kwenye nn labda. Nashangaa mtu anaropoka eti kina Bill Gate wanavaa kawaida na kuishi maisha ya kawaida Sasa chukua hii siri zile nguo wanazovaa usichukulie poa kwa muonekano zile nguo ni za garama mno na wale hawanunui nguo dukani wanatengenezewa maalum kwa ajili yao na wanaishi maisha ya garama mno ambayo hata kina Drake hawagusi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekusoma mkuu ingawa sikubaliani nawe
 
ungekuwa na pesa level hiyo ukaambiwa utumie kitu ya Dodoma ungereply the same. Kuna kipindi nilikuwa naona watu wanaonunua maji ya kilimanjaro ya Lita 1 kwa Tsh. 300 wakati maji ya ndoo yanauzwa Tsh.10 kwa ndoo (Lita 20) kama hawajielewi na niliapa kutokuja kufanya hiyo kitu ya ujinga..sasa najua lilikuwa ni suala la muda tu na rasilimali.

Agemate mwingine alikuwa anaona kuagiza ugali hotelini ni matumizi mabaya ya pesa na aliapa hatowahi kuja kufanya hiyo kitu ya ujinga, saizi kaweka bili ya dona na analipa in-advance. Ni sawa na mtu ambaye simu yake ya gharama kumiliki ni ya elfu 20 miaka yote anavyokushangaa unayenunua simu ya Laki 5 anakuona mfujaji wapesa.
hahaha sure.
 
Siku akidanja tunamsubili na makoleo na majembe huku then tinafukia aridhini na mchwa wanafanya kazi yao.

Hii Ngozi kwa matumizi ya sifa haijambo. Na hayo madude ya gharama watengenezaji wameshajua waafrika ndio wanayapenda sana ili kujionyesha wao Ndio kila kitu. Ni wazungu wachache sana utawakuta wanafanya mambo ya gharama kubwa eti kwa ajili tu ya kujiona bab kubwa. Sidhani hata D Trump analalia godoro la hiyo gharama. Sijui ni ushamba au ndio mawazo ya nikizipata watanikoma!!
Kwani Drake ni Ngozi Nyeusi!?..
 
Back
Top Bottom