secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Mbongo kwa kupangia watu jinsi ya kuishi utamuweza basi..Acheni mawazo ya kimaskini na roho ya kwann waafrika na watanzania wenzangu ndio maana siku zote tunabaki masikini na kusononeka huku furaha yetu ikiwa ni kuona wale wenye nazo wakifirisika...Drake anaishi kwenye nyumba yenye thamani ya Tsh.
Billion 20 halafu wewe chokoraa unayeishi kwenye kibanda cha kupanga unalipa kodi elfu 50 kwa mwezi unasema hajawekeza ulitaka awekeze kwenye nn labda. Nashangaa mtu anaropoka eti kina Bill Gate wanavaa kawaida na kuishi maisha ya kawaida Sasa chukua hii siri zile nguo wanazovaa usichukulie poa kwa muonekano zile nguo ni za garama mno na wale hawanunui nguo dukani wanatengenezewa maalum kwa ajili yao na wanaishi maisha ya garama mno ambayo hata kina Drake hawagusi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mengine yote yataleta njaaNimesoma title alafu nikatafuta picha mengine yatanipa njaa
Hahaha aha aseeCha ajabu unaweza kukuta na gharama zote hizo lakini hapati usingizi mpaka ameze dawa,wakati mimi nalalia ngozi nalala mpaka nakoroma...
ungekuwa na pesa level hiyo ukaambiwa utumie kitu ya Dodoma ungereply the same. Kuna kipindi nilikuwa naona watu wanaonunua maji ya kilimanjaro ya Lita 1 kwa Tsh. 300 wakati maji ya ndoo yanauzwa Tsh.10 kwa ndoo (Lita 20) kama hawajielewi na niliapa kutokuja kufanya hiyo kitu ya ujinga..sasa najua lilikuwa ni suala la muda tu na rasilimali.
Agemate mwingine alikuwa anaona kuagiza ugali hotelini ni matumizi mabaya ya pesa na aliapa hatowahi kuja kufanya hiyo kitu ya ujinga, saizi kaweka bili ya dona na analipa in-advance. Ni sawa na mtu ambaye simu yake ya gharama kumiliki ni ya elfu 20 miaka yote anavyokushangaa unayenunua simu ya Laki 5 anakuona mfujaji wapesa.
Na godoro langu la Dodoma unategemea nini sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Drake sometimes Mimi naona anazidisha masifuri katika vitu anavyonunua nakumbuka aliwahi kununua Pete ya billioni 2 pia video yake ya God's plan ilitumika zaidi ya billioni 1.4 so far mbona ni video ya kawaida tu!?...simuelewagi huyu jamaa
Ko unaamini kabisa haja wekeza?Watu weusi tuna matatizo sana kwenye matumizi. Badala awekeze for the future yeye anaspend na kutajirisha wengine. Hajifunzi kwa kina Muhamed Ali kina Mike Tyson na wengine walivyfilisika?
Wazungu matajiri kina Bill Gates wanavaa kawaida na wanalala kawaida tu
πππ
Maskini bna,sasa raha ya pesa ni nini? Me nilalie godoro la 150k na drake naye? Raha ya pesa uionje ladha yake ili upate hamu ya kuitafuta bna,yaani una mabilion ya pesa uhangaishane na daladala si ndagu hz.Kwa msanii kufanya matumizi ya aina hii ni njia mojawapo ya kujitangaza na kubaki midomoni mwa watu. Hivi tunavyomzungumzia ni pesa kwake.
KUMBUKA: Kampuni hazifanyi matangazo na msanii asiyefuatiliwa na jamii.
Kwani hamuwezagi kuandika comment fupi fupi?ungekuwa na pesa level hiyo ukaambiwa utumie kitu ya Dodoma ungereply the same. Kuna kipindi nilikuwa naona watu wanaonunua maji ya kilimanjaro ya Lita 1 kwa Tsh. 300 wakati maji ya ndoo yanauzwa Tsh.10 kwa ndoo (Lita 20) kama hawajielewi na niliapa kutokuja kufanya hiyo kitu ya ujinga..sasa najua lilikuwa ni suala la muda tu na rasilimali.
Agemate mwingine alikuwa anaona kuagiza ugali hotelini ni matumizi mabaya ya pesa na aliapa hatowahi kuja kufanya hiyo kitu ya ujinga, saizi kaweka bili ya dona na analipa in-advance. Ni sawa na mtu ambaye simu yake ya gharama kumiliki ni ya elfu 20 miaka yote anavyokushangaa unayenunua simu ya Laki 5 anakuona mfujaji wapesa.
Nimesoma title alafu nikatafuta picha mengine yatanipa njaa