Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni hatari sana si sawa mwanaume ashushe thamani yake kisa pesa .
Byuti Byuti 😀😀😀Aisee.... pisi beautiful asilimia kubwa ni problematic.
Njoo nikuoeHahahaaa... tutavundaaa na kudoda mpaka tukomeeee[emoji16]!!
View attachment 2494378
Ndo hawa?
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Jamaa ana makasiriko si alimpenda mwenyewe lakiniNina jamaa alioa mke kwasababu hizo hizo,demu alikuwa wakishua. Kinachotokea sasa hivi, jamaa anapatwa na hasira hata mkewe akitabasamu
🤣 🤣 🤣 Unachimbwa biti ukumbiniBaadae ndio yanakuwa kama yale "........kaeni kimya........order order........".
Endeleeni kuringa tu hadi mfike 35 bila bila 🤣🤣🤣,,, oh natafuta Quality guyssogea tukae tutaifanya tu hahaha . Hakuna namna
Sooo trueeHuyu mshikaji wangu wa pili ana oa mtoto wa kibopa. Yani pisi ya kawaida sana to the point tunajua amefata life completion na connection.
Wa kwanza alioa pisi moja ni zaidi ya kawaida ila sherehe kama zote zilifanywa, pisi ina elimu na pia ina connection na nyota sana. Every one around her made it. So you can imagine the party. I once dated the girl so I know (ilikuwa ina private contacts ya Magu na Mama enzi izo).
Now it’s a new trend, money over anything; make it with your level or above your level na life has no chance of mistakes. We men are now smarter than ever, beauty doesn't cut it any more.
If you have a daughter, please do counseling mapema, she should hold the right place.
Note: all my friends wapo educated enough, rich enough, they all went for more.
Over and out 🫠.
Hii ndio advantage ya kuoa ushuani, kitu ambacho utakiona sana labda ni mialiko na parties za kuwakutanisha ila sio mambo ya uzandiki.Wanawake wa kishua.. wana stress chache kuliko wanawake wetu wa kuunga unga maisha.
Ndoa ya mwanamke wa kiswahili inatolewa macho na ukoo wake wote. Kila mtu mshauri wake. Kila mtu ndugu anawatembelea na kuleta maneno.
Familia za kishua ziko bize na mambo yao. Ndoa inakuwa haina usumbufu wa third party
Hahaha chuki ipi jamani, ndo mwanaume uendeshwe kama gari mbovu kisa pesa. Nataka saa kumi uwe hapa na wewe unatii tu jamani hapana. Mwanaume ni kichwa.Lakini wanawake mna chuki Sana aisee. Acha Mtu afanye kitu kwa maisha yake.
Mabaharia tupo hamuwez kuvunda bana 🤣Hahahaaa... tutavundaaa na kudoda mpaka tukomeeee😁!!
Huyo ni ndezi, baharia huwezi kumpangia ratiba utachoka na nafsi yako 🤣hahaha chuki ipi jamani , ndo mwanaume uendeshwe kama gari mbovu kisa pesa . Nataka saa kumi uwe hapa na wewe unatii tu jamani hapana . Mwanaume ni kichwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nina jamaa alioa mke kwasababu hizo hizo,demu alikuwa wakishua. Kinachotokea sasa hivi, jamaa anapatwa na hasira hata mkewe akitabasamu
Ahsanteeeeeee studiooo.Wanawake wa kishua.. wana stress chache kuliko wanawake wetu wa kuunga unga maisha.
Ndoa ya mwanamke wa kiswahili inatolewa macho na ukoo wake wote. Kila mtu mshauri wake. Kila mtu ndugu anawatembelea na kuleta maneno.
Familia za kishua ziko bize na mambo yao. Ndoa inakuwa haina usumbufu wa third party
Muongoo huyoo!! Mlongo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa Kama wapo rich mbona Kama wanadanga?mtu una hela halafu unaenda kuoa connection badala uoe mke unaempenda?na hiyo elimu yao haijawakomboa wapenda kitonga hao
Mmmh kweli nakuamini mlongo wangu😂😂😂Muongoo huyoo!! Mlongo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]