Wala asitake kutuchoraa, huyo rafiki yake ni apeche alolo ndo kaamua kuwa marioo wa style mpyaa, mjini hapa mlongo.Mmmh kweli nakuamini mlongo wangu[emoji23][emoji23][emoji23]
Maisha yamebadilika🤓🤓🤓 unapata VXR hivi hiviKabisa!kwa kisingizio Cha connection
Maisha yamebadilika🤓🤓🤓 unaweza pata VXR hivi hiviKabisa!kwa kisingizio Cha connection
Baadhi ya wanawake wa siku hizi wajinga kweli, wakiwa wabichi ndoa hawataki mileage zikizoma wanakuhonga wenyewe ili uwaoe😂😂Endeleeni kuringa tu hadi mfike 35 bila bila 🤣🤣🤣,,, oh natafuta Quality guys
Hao ndio mtaji wa wahuni, wanakula wanaacha mimbabaadhi ya wanawake wa siku izi wajinga kwel wakiwa wabich ndoa hawataki mellage zikizoma wanakuhonga wenyewe ili ueaowe😂😂
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Hii kali mzee, inafaa kuwa uziInasemekana ati usioe au kuanzisha mahusiano na mwanamke aliyekuzidi matatizo...
🤣 🤣 🤣 Super marioWala asitake kutuchoraa, huyo rafiki yake ni apeche alolo ndo kaamua kuwa marioo wa style mpyaa, mjini hapa mlongo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hatari sana...🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Hii kali mzee, inafaa kuwa uzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sahv wanaume wengi wanavyo jirahisishaa unabakii kuduwaaa, acha tyuuh Jua ni kali mnooo.[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Super mario
Vijana wanatafta connection hawataki mademu njaa njaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sahv wanaume wengi wanavyo jirahisishaa unabakii kuduwaaa, acha tyuuh Jua ni kali mnooo.
Mweeeeeeh
mambo kibaoooTatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Hiyo sio kujiuza, ni kama vile wanawake wanavyokwenda kwa "Mwanaume" wasiompenda, sababu tu ya kupata "uhakika" wa mahitaji yao na Maisha, kisha wanatafuta "wanaompenda" ki-chinichini . Sasa Wanaume nao wameona hiyo "Opportunity" au "window" na wanaitumia "effectively".
Hahahaahahaahaha!! Umepumzika kidogo ausio 😁!✌️✌️✌️!Mi humu huwa nina Tease tu, ila nikitaka 🙀 ni anytime!