Wale wananchi wanaonewa kwa sababu ni wanyonge. Ni maskini na wengi wao hawajaenda shule kabisa au elimu ni ndogo.
Kuna taarifa kwamba changamoto kubwa ni kutojulikana mpaka katika ya wilaya mbili za mkoa wa Singida na wilaya ya Chemba katika mkoa wa Dodoma. Hill litatuliwe kwanza. Wale wananchi hawakuvamia pori. Waligawiwa na kijiji chao. Kwanini kijiji hakikuamrishwa kuwaondoa wananchi ili kama bado ina maeneo, iwagawie tena ili kuendelea na shughuli zao.
Taarifa zinasema wale wananchi wamekuwa pale Toka mwaka 2013.
Kwanini hizi tafrani zipambe moto kuanzia mwaka Jana tu?