Watu wanaoishi kwa kuwinda na kukusanya kama Wahdzabe wana afya kuliko wakulima, wafugaji na watu wengine

Watu wanaoishi kwa kuwinda na kukusanya kama Wahdzabe wana afya kuliko wakulima, wafugaji na watu wengine

Hao wamewazidi lishe hata matajiri wanaokula mafuta na sukari kwa wingi. Hujasoma uzi na kuelewa?
Hizo ni fikra za kimaskini ukijua mlo kamili ni nini utaelewa ukiona mtu anakipato kizuri na hali mlo kamili basi afya ya akili ni ziro na ndio kama wewe kusema wanakula mayunda na mizizi basi wana afya kuliko wengine 😂😂😂 nishafika kwa wa hadza og sio wale kina dudukwee wa youtube wale og kuna muda wanakaa siku tatu ni kula matunda na mizizi na wadudu mlo kamili hawapati unaleta porojo hapa
 
Hizo ni fikra za kimaskini ukijua mlo kamili ni nini utaelewa ukiona mtu anakipato kizuri na hali mlo kamili basi afya ya akili ni ziro na ndio kama wewe kusema wanakula mayunda na mizizi basi wana afya kuliko wengine 😂😂😂 nishafika kwa wa hadza og sio wale kina dudukwee wa youtube wale og kuna muda wanakaa siku tatu ni kula matunda na mizizi na wadudu mlo kamili hawapati unaleta porojo hapa
Sasa kula matunda, wadudu na mizizi kwa siku tatu kunakuwaje siyo mlo kamili? Ulitaka wanywe na Cocacola!!?
 
BINAFSI NAONA WAHADZABE WANAISHI MAISHA YA MATESO SANA.
KWANZA KULA KWAO KWA TABU WANYAMA WENYEWE WANAOWATEGEMEA SIKU HIZI WAMEPUNGUA NA HAWAWEZI KUPATIKANA KWA URAHISI KAMA ZAMANI. FIKIRIA KIPINDI CHA MVUA KAMA HICHI WANAISHI VIPI? NA HAWANA AKIBA YA CHAKULA, YANI HAO WANAISHI KAMA NDEGE TU.
KIUFUPI USISIFIE MAISHA YA HAO JAMAA WAKATI HAUJAFUATILIA CHANGAMOTO ZAO UNATUAMINISHA WANA AFYA NJEMA WAKATI MARA NYINGI WANAKULA NYAMA MBICHI? NA HATUWAONI WATU WENYE UMRI MKUBWA KULE KAMA MIAKA 80 NA KUENDELEA HIVYO INAMAANISHA HAWANA AFYA NJEMA YA KUWAFANYA WASTAHIMILI KUISHI MUDA MREFU.
 
BINAFSI NAONA WAHADZABE WANAISHI MAISHA YA MATESO SANA.
KWANZA KULA KWAO KWA TABU WANYAMA WENYEWE WANAOWATEGEMEA SIKU HIZI WAMEPUNGUA NA HAWAWEZI KUPATIKANA KWA URAHISI KAMA ZAMANI. FIKIRIA KIPINDI CHA MVUA KAMA HICHI WANAISHI VIPI? NA HAWANA AKIBA YA CHAKULA, YANI HAO WANAISHI KAMA NDEGE TU.
KIUFUPI USISIFIE MAISHA YA HAO JAMAA WAKATI HAUJAFUATILIA CHANGAMOTO ZAO UNATUAMINISHA WANA AFYA NJEMA WAKATI MARA NYINGI WANAKULA NYAMA MBICHI? NA HATUWAONI WATU WENYE UMRI MKUBWA KULE KAMA MIAKA 80 NA KUENDELEA HIVYO INAMAANISHA HAWANA AFYA NJEMA YA KUWAFANYA WASTAHIMILI KUISHI MUDA MREFU.
Nilipokwenda kutembea kule niliuliza mbona sioni wazee wakasema wapo kwenye mila ila kila wakati nikienda siwaoni. Na afya zao sio nzuri kiuhalisia ukiona mtu anawatetea yeye naye mlo kamili unampiga chenga mpka anatamani awe mtu pori ale wadudu na matunda mkuu ni janga asilimia kubwa now watz hawana uwezo wa kula mlo kamili
 
BINAFSI NAONA WAHADZABE WANAISHI MAISHA YA MATESO SANA.
KWANZA KULA KWAO KWA TABU WANYAMA WENYEWE WANAOWATEGEMEA SIKU HIZI WAMEPUNGUA NA HAWAWEZI KUPATIKANA KWA URAHISI KAMA ZAMANI. FIKIRIA KIPINDI CHA MVUA KAMA HICHI WANAISHI VIPI? NA HAWANA AKIBA YA CHAKULA, YANI HAO WANAISHI KAMA NDEGE TU.
KIUFUPI USISIFIE MAISHA YA HAO JAMAA WAKATI HAUJAFUATILIA CHANGAMOTO ZAO UNATUAMINISHA WANA AFYA NJEMA WAKATI MARA NYINGI WANAKULA NYAMA MBICHI? NA HATUWAONI WATU WENYE UMRI MKUBWA KULE KAMA MIAKA 80 NA KUENDELEA HIVYO INAMAANISHA HAWANA AFYA NJEMA YA KUWAFANYA WASTAHIMILI KUISHI MUDA MREFU.
Wanazeeka vizuri tu. Wao hawaoni mateso, wanakuona wewe unayelima unateseka sana. Pamoja nayote, hao huwezi kuta wanamagonjwa yatokanayo na lishe mbovu.
1699886724065.jpeg
 
Wanazeeka vizuri tu. Wao hawaoni mateso, wanakuona wewe unayelima unateseka sana. Pamoja nayote, hao huwezi kuta wanamagonjwa yatokanayo na lishe mbovu.
View attachment 2812773
Usikaze fuvu kwa kudanganya hiyo ni kabila la south ambao hata hawana utaratibu wa kihadza muda mwingine usionyeshe udhaifu wa ubongo wako ndio maana Mungu akauficha ndani ya fuvu.
 
Usikaze fuvu kwa kudanganya hiyo ni kabila la south ambao hata hawana utaratibu wa kihadza muda mwingine usionyeshe udhaifu wa ubongo wako ndio maana Mungu akauficha ndani ya fuvu.
Mada haizungumzii wahadzabe. Inazungumzia watu wanaoishi kwa kuwinda na kukusanya kama wahazdzabe. Wa leo na wa kabla kilimo hakijagunduliwa. Ukiwa na akili mgando ndiyo utakazana kuzungumzia wahadzabe. Cheki hawa mbilikimo na afya zao.

1699887302012.jpeg
 
Mada haizungumzii wahadzabe. Inazungumzia watu wanaoishi kwa kuwinda na kukusanya kama wahazdzabe. Wa leo na wa kabla kilimo hakijagunduliwa. Ukiwa na akili mgando ndiyo utakazana kuzungumzia wahadzabe. Cheki hawa mbilikimo na afya zao.

View attachment 2812788
Bado hujapost picha mpaka upost hao wa south uliopost wanaishi tofaut na watu pori hao mbilikimo nao Washahama huko kwenye kula vyakula vya porini kabila lililobaki na tamaduni yake og ni hadza na wao wanaihama taratibu kulingana na utandawazi. Bado hujasema mpaka useme.
 
Bado hujapost picha mpaka upost hao wa south uliopost wanaishi tofaut na watu pori hao mbilikimo nao Washahama huko kwenye kula vyakula vya porini kabila lililobaki na tamaduni yake og ni hadza na wao wanaihama taratibu kulingana na utandawazi. Bado hujasema mpaka useme.
Ndiyo maana nimesema ukiwa na akili mgando utafikiria kuwa hunter gatherers duniani ni wahdzabe tu. Umewahi wasikia wa-Andamanese kutoka Andaman islands?
 
Ndiyo maana nimesema ukiwa na akili mgando utafikiria kuwa hunter gatherers duniani ni wahdzabe tu. Umewahi wasikia wa-Andamanese kutoka Andaman islands?
Bado hujasema yaani mpaka useme. Kaa kwenye point ueleweke usiruke ruke kama harage kwenye moto
 
Ndiyo maana nimesema ukiwa na akili mgando utafikiria kuwa hunter gatherers duniani ni wahdzabe tu. Umewahi wasikia wa-Andamanese kutoka Andaman islands?
Alafu unapozungumzia jambo jitahidi kuwa na mifano ulioiona kwa macho yako bampa tu bampa sio kuangalia maigizo ya kwenye tv nimewazungumzia hadza kwakua umewataja kwenye kichwa cha habari yako na nimewazungumzia pia kwakua natembelea maeneo yao kila mara japo sio wakati wote. Jiulize umewataja alafu unawaruka afya ya akili ipo njema kweli
 
Kipindi cha ukame wanyama wengi wanaelekea mtoni hasa Tarangire au lake Eyasi au Natron kutafuta maji...hivyo wanakuwa mbali sana na makazi ya Wahadzabe kama Yaeda chini
 
BINAFSI NAONA WAHADZABE WANAISHI MAISHA YA MATESO SANA.
KWANZA KULA KWAO KWA TABU WANYAMA WENYEWE WANAOWATEGEMEA SIKU HIZI WAMEPUNGUA NA HAWAWEZI KUPATIKANA KWA URAHISI KAMA ZAMANI. FIKIRIA KIPINDI CHA MVUA KAMA HICHI WANAISHI VIPI? NA HAWANA AKIBA YA CHAKULA, YANI HAO WANAISHI KAMA NDEGE TU.
KIUFUPI USISIFIE MAISHA YA HAO JAMAA WAKATI HAUJAFUATILIA CHANGAMOTO ZAO UNATUAMINISHA WANA AFYA NJEMA WAKATI MARA NYINGI WANAKULA NYAMA MBICHI? NA HATUWAONI WATU WENYE UMRI MKUBWA KULE KAMA MIAKA 80 NA KUENDELEA HIVYO INAMAANISHA HAWANA AFYA NJEMA YA KUWAFANYA WASTAHIMILI KUISHI MUDA MREFU.
Wanakula Organic food lakini maisha marefu hayategemei chakula tu, changamoto za hali ya hewa kama mvua, ukame, Magonjwa n.k ni tatizo pia inayofupisha maisha yao
 
Usikaze fuvu kwa kudanganya hiyo ni kabila la south ambao hata hawana utaratibu wa kihadza muda mwingine usionyeshe udhaifu wa ubongo wako ndio maana Mungu akauficha ndani ya fuvu.
Huyu sidhani kama alishawatembelea Wahadzabe
 
Kipindi cha ukame wanyama wengi wanaelekea mtoni hasa Tarangire au lake Eyasi au Natron kutafuta maji...hivyo wanakuwa mbali sana na makszi ya Wahadzabe kama Yaeda chini

Kwa wahdzabe sina experiance nao sana me nimejiongelea jamii nayotoka ya wasandawe kipindi cha masika uwindaji so sana watu wana deal na mitengo ya kuacha usiku then asubuhi unaenda check
 
Mtaalamu mmoja alisema kuwa afya ya binadamu ilianza kuzorota pale alipoanza kulima. Huu ni ukweli kabisa. Babu zetu walipokuwa wanaishi kwa kuwinda na kukusanya walikula kila aina ya chakula. Walikula matunda, majani ya miti, nyama, asali, mayai ya ndege, wadudu, mizizi, samaki nk nk. Watu hawa kila kitu walipata kwa kiasi. Hawakujua upungufu wowote mwilini.

Alipoanza kulima akawa analima mazao ya aina fulani tu. Labda mahindi na maharage. Matokeo yake mwaka mzima anakula ugali maharage. Labda abahatike kula kuku mara moja au mbili kwa mwaka. matokeo yake afya yake ikawa duni kabisa. Mtu anashiba vyema lakini afya yake sifuri. Hali hii inaendelea hadi leo huko vijijini. Ndiyo maana mikoa ya nyanda za juu kusini inaongoza kwa uzalishaji wa chakula lakini pia inaongoza kwa utapiamlo.

Wakati wetu huu wa kisasa vyakula aina mbalimbali vinapatikana kirahisi hasa mijini. Lakini hili nalo limeleta matatizo. Inadaiwa kuwa wakati wa kuwinda na kukusanya, nyama, vyakula vya sukari na chumvi vilikuwa vitu adimu sana. Inasemwa ndiyo maana binadamu akajenga tamaa kali ya vyakula vya mafuta, sukari na kiasi chumvi. Hivi leo hii vimekuja kumharibia kabisa afya yake.

Nyama, sukari na chumvi vinapatikana kwa wingi mno. Na kwa vile alishajenga tamaa kali ya viti hivyo sababu vilikuwa adimu kwake, anaanza kuvifakamia kwa fujo. Matokeo yake ni kuporomoka kabisa kwa afya yake. Matunda yamefanyiwa modifications ili yawe na sukari zaidi. Na matunda yenyewe ni ya ina chache sana. Leo mjini ukisema naenda kula matunda tikiti na ndizi ndiyo hasa utavikuta.

Leo tunaona wahadzabe na wasandawe wanaishi maisha primitive sana, lakini kwenye afya wametuacha mbali sana. Tuna mengi sana ya kujifunza kutoka kwao kuhusu suala la lishe.
Unataka sote tuishi km wao?.Je,umefanya Research kujua Life span yao?,Je,umefanya utafiti kujua km huwa hawaugui magonjwa?.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom