Plan Master
JF-Expert Member
- Jan 1, 2021
- 2,188
- 3,762
Karibu tena jamvini.Hapahapa Mjini aisee, ila nimerudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu tena jamvini.Hapahapa Mjini aisee, ila nimerudi
Jack palladino nichek bas inbobo nakutakaMkuu tuendelee kulewa tj
MBona bado hujasema!! Maana hicho ndio nilichosema mimiNa wewe acha kuhusu vitu usivyovijua.
CH3CH2OH (pombe)CH4CH2OH( pombe)
hata hizo clean mwambie apige K - vant halafu ashushie na kilimanjaro kesho yake ndo atajua maana ya hangoverWe unakunywa zile clean......uliza watu wa mataputapu
Asante mkuuKaribu tena jamvini.
Kwakweli hapo umeongea demu mlevi kula ni sekunde tu kuna siku maji yatazidi unga wahuni watamaliza halafu itakuwa siri yao nimeshashuhudia mara nyingi haya mambo tena kwa watu naowajua mkojo wa firauni sio mchezoKama mke wako anakunywa pombe Hilo Ni tatizo kubwa sana, pombe haimfai mke wa mtu, pombe ina addiction Kama madawa ya kulevya.
Furafa gani kulala kwenye mitaro?Aisee nimekuwa nikipita hapa Polis Mess na sometimes mess ya Jeshi Wtz kumchukulia CH4CH2OH( pombe) mke wangu.
Nachukua kama dakika kadhaaa kutupia macho hapa na pale.
Jambo ninaloweza kusema ni kuwa hawa watu wanaokunywa pombe wanaonekana kuwa na furaha na wanapendana sana.
Na vile vile pamoja na maisha kuwa magumu mtaani bado hawa watu hawakosi pesa ya kuburudisha bongo zao.
Nini siri kubwa ya mafanikio?
Hahahaahata hizo clean mwambie apige K - vant halafu ashushie na kilimanjaro kesho yake ndo atajua maana ya hangover
Heheee mapya hayaTatizo furaha is temporary. Hitaji la mwadamu ni amani. Amani Ina furaha ndani yake ila sip Kila furaha Ina amani
TII KIU YAKO KIU HAIIGWIAisee nimekuwa nikipita hapa Polis Mess na sometimes mess ya Jeshi Wtz kumchukulia CH4CH2OH( pombe) mke wangu.
Nachukua kama dakika kadhaaa kutupia macho hapa na pale.
Jambo ninaloweza kusema ni kuwa hawa watu wanaokunywa pombe wanaonekana kuwa na furaha na wanapendana sana.
Na vile vile pamoja na maisha kuwa magumu mtaani bado hawa watu hawakosi pesa ya kuburudisha bongo zao.
Nini siri kubwa ya mafanikio?
Hahaha kwamba?TII KIU YAKO KIU HAIIGWI
Inawapa maarifaPombe hihiii inayofanya watu waongee kiingereza
Pombe ina addiction kama ngada?? Your not serious aiseeeeKama mke wako anakunywa pombe Hilo Ni tatizo kubwa sana, pombe haimfai mke wa mtu, pombe ina addiction Kama madawa ya kulevya.
Huyu fala akinywa soda tu analewa, achana naePombe ina addiction kama ngada?? Your not serious aiseeee