The lastborn9319
JF-Expert Member
- Oct 30, 2021
- 852
- 1,745
Hapo kwenye kunywa kiasi,wengi wanashindwa labda siku hiyo uwe na hela kidogo...yan una mtonyo mrefu,halafu uko na washakaji mix wachuchu halafu upo kiwanja kikali..haaa huo mtihani kuushinda MUNGU aingilie katiUkinywa kwa kiasi inakuwa ni starehe, ukinywa kwa pupa inakuwa sio starehe sasa ni karaha
Formula ya pombe idhibiti, isikudhibiti, kwa maana "ukiingia kwenye mfumo" wake umeishaa [emoji3][emoji2][emoji1]