Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Jirani wewe sitaki unaniwazia mawazo mabaya 🤣🤣🤣Niko hapa
Nisije kulewa ukanipitia shwaaaa✈️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jirani wewe sitaki unaniwazia mawazo mabaya 🤣🤣🤣Niko hapa
Kwani we hutak kupitiwa shwaaa na jirani yako 😂Jirani wewe sitaki unaniwazia mawazo mabaya 🤣🤣🤣
Nisije kulewa ukanipitia shwaaaa✈️
Labda kama ulilewa kwa pesa ya vikoba asubuhi lazima ujute.Kama unahisi pombe ni starehe,jaribu kunywa uone..
Tunapokunywa tunaona starehe,ila kesho yake ndo utaelewa...
Ila Binti wa chunga 😂😂Em kunywa smirnoff ya baridi kwanza hapo
Maisha yamekuwa burudani kabisa mke wanguTangu mume awe anagida beer maisha yamebadilika sana....
Nakubaliana nawe. Pombe, dini na madawa ya kulevya ni vitu hatari sana kwa addictionKama mke wako anakunywa pombe Hilo Ni tatizo kubwa sana, pombe haimfai mke wa mtu, pombe ina addiction Kama madawa ya kulevya.
Hahaha life inabidi liendelee, kesho nayo ni sikuNa zile chenchi za buku buku hua zinawekwa kwny mfuko wa kushoto, maumivu Ni asubuhi yake Sasa.
Wee 🤣🤣🤣🤣Kwani we hutak kupitiwa shwaaa na jirani yako 😂
AME kuwa na furaha Sana, au ndo majanga ya ugomvi🤔🤒Tangu mume awe anagida beer maisha yamebadilika sana....
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Nakubaliana nawe. Pombe, dini na madawa ya kulevya ni vitu hatari sana kwa addiction
Kautafiti kako mkuu ni 100%, mm situmii CH4CH2OH lakini, wale jamaa wana furaha sana hilo huwa national tukiwa mpirani kweye bar tofauti tofautiAisee nimekuwa nikipita hapa Polis Mess na sometimes mess ya Jeshi Wtz kumchukulia CH4CH2OH( pombe) mke wangu.
Nachukua kama dakika kadhaaa kutupia macho hapa na pale...
Usiache kumnunulia mwaya, as long as anainywea zake ndani kwa heshima kisha analala kwa amani..Mimi ndio namnunulia. Hata siku moja sijawahi kuona akinywa bila mimi kumletea
Shida sio pesa Mzee,hakuna kitu kinakera kama hangover...Labda kama ulilewa kwa pesa ya vikoba asubuhi lazima ujute.
Well spoken [emoji736][emoji736]Kama mke wako anakunywa pombe Hilo Ni tatizo kubwa sana, pombe haimfai mke wa mtu, pombe ina addiction Kama madawa ya kulevya.
Sorry hii nyimbo kaimba nani mbona beat kali aiseeee......Maisha mafupi baby, ukikunja kunja sura utazeeka
Usikunje kunje sura utazeeka
Usikunje kunje sura utazeeka
Usibane bane sana utazikwa nalo
Enjoy life is too short
Kamata kamata kamata, kamata!
Kamata kamata kamata, kamata!
Eti baby wangu anivuruge ubongo
Hata kazini kwangu anichanganye kichwa
(Mmhh! weeh! sio kweli)
Weeh! Beer tamu
Asikwambie mtu tu tu beer tamu
Beer beer, mitungi beer tamu
Ah! Yii! Beer tamu
Asikwambie mtu tu tu beer tamu
Beer beer, mitungi beer tamu
Ah! Yii!