Watu wanaokunywa Pombe wanaonekana wanafurahia maisha kuliko wasiokunywa

Watu wanaokunywa Pombe wanaonekana wanafurahia maisha kuliko wasiokunywa

Utafiti huo umeufanyia bar?

Sasa mtu asiye mlevi atafurahi vipi akiwa bar?

Ushawahi kumkuta asiyevuta bangi kijiwe cha wahuni, ni hana amani kabisa, anawaza nikikamatwa mimi hapa itakuwaje?😂

Sisi sio walevi wa alcohol na tuna amani, fanya utafiti wako upyaaa
 
Aisee nimekuwa nikipita hapa Polis Mess na sometimes mess ya Jeshi Wtz kumchukulia CH4CH2OH( pombe) mke wangu.

Nachukua kama dakika kadhaaa kutupia macho hapa na pale...
Kautafiti kako mkuu ni 100%, mm situmii CH4CH2OH lakini, wale jamaa wana furaha sana hilo huwa national tukiwa mpirani kweye bar tofauti tofauti
 
Maisha mafupi baby, ukikunja kunja sura utazeeka
Usikunje kunje sura utazeeka
Usikunje kunje sura utazeeka
Usibane bane sana utazikwa nalo

Enjoy life is too short
Kamata kamata kamata, kamata!
Kamata kamata kamata, kamata!

Eti baby wangu anivuruge ubongo
Hata kazini kwangu anichanganye kichwa
(Mmhh! weeh! sio kweli)
Weeh! Beer tamu

Asikwambie mtu tu tu beer tamu
Beer beer, mitungi beer tamu
Ah! Yii! Beer tamu
Asikwambie mtu tu tu beer tamu
Beer beer, mitungi beer tamu
Ah! Yii!
Sorry hii nyimbo kaimba nani mbona beat kali aiseeee......
 
Back
Top Bottom