Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
- #21
Asante sana Mkuu.Nipo Rombo shekilango hapa wahi 🤣🤣🤣
Wanywa pombe mna upendo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana Mkuu.Nipo Rombo shekilango hapa wahi 🤣🤣🤣
Hag 2:8 SUV. Fedha ni mali yangu, na dhahabu ni mali yangu, asema BWANA wa majeshiHahaha
Ni Mali ya Bwana sio?Hag 2:8 SUV. Fedha ni mali yangu, na dhahabu ni mali yangu, asema BWANA wa majeshi
Ndio mkuuNi Mali ya Bwana sio?
Asante sana Mkuu.
Wanywa pombe mna upendo sana
Watu wote wajifunze kwenuSana [emoji23][emoji23][emoji23]
Furaha ya pombe uitawale!Kama mke wako anakunywa pombe Hilo Ni tatizo kubwa sana, pombe haimfai mke wa mtu, pombe ina addiction Kama madawa ya kulevya.
NaniHongera kwake
Mimi ndio namnunulia. Hata siku moja sijawahi kuona akinywa bila mimi kumleteaKama mke wako anakunywa pombe Hilo Ni tatizo kubwa sana, pombe haimfai mke wa mtu, pombe ina addiction Kama madawa ya kulevya.
Ndio nini hichoEm kunywa smirnoff ya baridi kwanza hapo
Kwani kuna tatizo?😆😆😆Kuna msemo unasema "Usimuamini mwanaume yeyote asiyekunywa pombe"
Hata anaekunywaKuna msemo unasema "Usimuamini mwanaume yeyote asiyekunywa pombe"
Ni kweli kwa mwonekano wa nje wana furahiaWanaonekana wanafurahia.
Acha kuhi hisi vitu usivyovijua
Hakuna penye nafuu?Hata anaekunywa
Niko hapaUko wapi uje tulewe?
Tunaokunywa kamnyweso tuna furaha... Kuna vibe fulani hivi linakujaga automatically from no where, unajikuta unasahau shida unafurahiaHata anaekunywa
🤣👊Tunaokunywa kamnyweso tuna furaha... Kuna vibe fulani hivi linakujaga automatically from no where, unajikuta unasahau shida unafurahia
Ni nadra sana kumkuta mtu anakunywa pombe analia au anasikitika