Watu wanaomlaumu Vicky Kamata, wanadhani Magufuli alipomtumbua Dkt Servacius Likwelile alimuacha na hela. Bila kujua alilelewa na Vicky

Mtoa Mada, Vick ana cheti cha Ndoa na Marehemu?
Akitoe wapi? Alikuwa mharibifu tu Kama waharibifu wengine. Kazi zao Kubwa ni kuwaliwaza waumme bila kujali huko mbeleni ni mshike mshike au la… Na wanajuwaga sana kuchanua miguu…
Huyu Kamata sijui Kama bado ni mbunge au la- sasa apeleke muswaada bungeni kutetea haki za watu wa hari yake maana wako wengi…
 
Haya mambo yanachanganya. Mwanamke wanadai ukikaa naye miezi sita pika pakua kashakua mke wako. Ukimuacha anakushitakia anashinda. Huku mtu wamekaa zaidi ya miaka 7, wanadai hawamtambui. Au sababu ya Mali?
ndo yale ya bange na dhahabu vikipatikana shambani kwako
 
Sasa kama Baba yao kaacha hela kama wanavyo Sema, kwanini hawana ada.

Wakae vizuri na mama yao mdogo awasaidie. Hata wewe ungekuwa Vicky, ungesaidia watoto jeuri viburi huku wanakudhalilisha na kukufukuza? Haya sasa,Vicky Wanamuachaje?
Aisee
 
Fanya yanayokuhusu unaandika upuzi mtupu unamjua likwelile vizuri ww au umetumwa kitu usikichokijua ni bora ukanyamaza kimya kipindi hicho sijui hata kama ulikuwa umemaliza form 4 wew
 
Vicky hakuwa mke wa Dr.Likweli mahakama imesema.
 
Haya mambo yanachanganya. Mwanamke wanadai ukikaa naye miezi sita pika pakua kashakua mke wako. Ukimuacha anakushitakia anashinda. Huku mtu wamekaa zaidi ya miaka 7, wanadai hawamtambui. Au sababu ya Mali?
Imeandikwa wapi?
 
NNa
Ujinga, Mahakama imesema Vicky hakuna na ndoa halali, sasa sijui unamtetea nini!!!?? Kama unayosema ni sawa, Vicky alikuwa anafanya nn mahakaman? Watu wa hovyo sana nyinyi.
Na ujinga mwingine wanasema Vicky ana hela halafu anang,Ang,ania nyumba si awaachie ajenge nyingine
 
Itoshe kusema mleta mada ni mbuzi, yani mtu akafeki hadi vyeti ili awadhulumu watoto wa marehemu wewe unakuja hapa kutetea nyambaf, alizopata miaka kumi bungeni za ule ubunge wa chupi hazijamtosha? na kikubwa zaidi kazaa na mzee yuleee mstaafu lakini wapiiiii, JIKE Shetwany kabisa lile na aibu hii iwafunze na wengine wanaodhani Mahakama itaangalia ukubwa wa mitako wakati wa maamuzi yake. SHAME
 
Twende taratibu kama Likwelile alikuwa Hana hela aliekuwa anasomesha watoto wake Canada ni nani?...
Hizo account zimeshikiliwa Hadi Leo?

Mbona watoto hawana Ada baada ya Baba Yao kufa?..
Kuna katoto kanaitwa Boris kalikuwa kanasoma Canada, Muulize nani akikuwa anakulipia ada wakati Likwelile katimuliwa kazi? Atakuambia ni Vicky.

Watoto wa Likwelile walizowea kufanyiwa kila kitu na Baba yao. Vijana wakubwa wanapenda starehe kazi hawataki ndo maana qanamaumbia Vicky maana hawana kazi maana na watapenda kwenda kidimbwi na wasichana cha kuwapa hawana πŸ˜„πŸ˜„ hasira zote zinaeda kwa vicky

Vicky alikuwa analipa ada tangu likwelile kafariki hakajaenda shule. Tena hao ndo Mama yao ilifariki 2014 Vicky ndo akaolewa.

Wanaume wasiri sana. Vicky hakutambua wala hakuwahi kusikia kamaLikwelile alikuwa na ndoa nyingine sababu Likwelile alikuwa na mke Tegeta na Vicky alikuwa anaishi Sinza. Walipooana wakahamia nyumba ya Serikali.

Walipokuwa kwenye nyumba ya serikali ndo wakanunua Mbweni na wakahamia baada ya Likwelile kutumbuliwa.

Sasa watoto walifukuzwa wapi wakati walikuwa wanaishi Tegeta na yule alieachwa alikuwa amepanga Kibaha na hao watoto wake wasumbufu walikuwa wanaishi tabata?

Likwelile alikuwa anaenda kusalimia wanae Tabata kisha anarudi kukaa Mbweni.

Wamuache Vicki ale maisha banaπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„. Waendelee kukaa tabata. Baba yao kabla ya kufa kwanini walikataa kukaa Mbweni?
 
Duu haya moisha bana, yaani jamaa pamoja na fedha zake zote alikuwa anaishi kama njiwa, mara Tabata kwa watoto kusalimia, mara Tegeta kulala, sas kuna haja gani yakuwa na fedha kama huna amani na kuishi kwa starehe na watoto wako?
 
Twende taratibu kama Likwelile alikuwa Hana hela aliekuwa anasomesha watoto wake Canada ni nani?...
Hizo account zimeshikiliwa Hadi Leo?

Mbona watoto hawana Ada baada ya Baba Yao kufa?..
Usipoteze muda wako na hivi vichawa vya mitandaoni, thamani ya utu wao ni bundle tu na offer za bia.

Jaji ameshamaliza shughuri hawa wachamba wima waache watapetape hizo ni sign za kawaida za dying horse.
 
Kachawa kasicho na aibu, kama unajifanya unayajuwa kweli mahusiano ya Likwelile kwa nini husemi ukweli Vicky alimpinduwa yule Dada wa Tasaf kwa mandumba yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…