Watu wanaonishangaa kutumia GB 60 kwa mwezi (tena kwa kujibana) ni vipi wao wanatosheka na GB chini ya 10

Watu wanaonishangaa kutumia GB 60 kwa mwezi (tena kwa kujibana) ni vipi wao wanatosheka na GB chini ya 10

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Yani hata hizi gb 60 kwa mwezi kwangu ni ndogo najibana, ingekuwa najiachia basi kila nikitoka kazini navyopumzika kwa saa nikimruhusu mtoto acheki katuni zake kwenye Netflix 4k kwenye tv basi ndani ya muda huo gb 6 zishakatika, hapo sijahesabia matumizi yangu.

- Nafanya online backups za baadhi ya mafaili yangu kwa kujibana bana kwa kuyapa kipaumbele yale mafaili muhimu zaidi.

- Nacheki online tutorials kwa kujibana bana naangalia chache

- Nadownload movies kwa kujibana bana nashusha 720 p ilhali tv yangu inazicheza vizuri zaidi 1440p

- Software updates nazo nazivizia,

-Youtube nacheki kwa 480p sijiachii na 720p

-Insta naingia kwa kuvizia

.... Napata wasi wasi kwamba wengi wanajua kwamba internet ipo kwajil ya facebook na whatsapp tu
 
Yani hata hizi gb 60 kwa mwezi kwangu ni ndogo najibana,

- Nafanya online backups za baadhi ya mafaili yangu kwa kujibana bana kwa kuyapa kipaumbele yale mafaili muhimu zaidi.

- Nacheki online tutorials kwa kujibana bana naangalia chache

- Nadownload movies kwa kujibana bana nashusha 720 p ilhali tv yangu inazicheza vizuri zaidi 1440p

- Software updates nazo nazivizia,

-Youtube nacheki kwa 480p sijiachii na 720p

-Insta naingia kwa kuvizia

.... Napata wasi wasi kwamba wengi huenda wanatumia internet kwenye facebook tu

Mimi napata Mb750 kwa wiki
 
Tuanzie kwenye muvi ulizopakua hivi karibuni naaomba majina yake.
NOTE: zisiwe katuni wala animesheni(nsyuka zilizo changamka yaani muvi za musa banzi zilizochangamka kama dr strange na nyingine kama hizo)

Maana ninyi mnaojinasibu kutumia GB nyingi unaweza kuta unaangalia cartoons tu hapo kwenu ushuani
 
Kila mbuzi anakula kutokana na urefu wa kamba yake mkuu. Zamani tulikuwa tunaangalia movies za Mb 100 kibishi bishi kwenye simu, Browser opera mini na Ucweb, simu zenye vioo vyenye resolution ndogo etc kwa mwezi humalizi hizo 10GB.
 
Yani hata hizi gb 60 kwa mwezi kwangu ni ndogo najibana,

- Nafanya online backups za baadhi ya mafaili yangu kwa kujibana bana kwa kuyapa kipaumbele yale mafaili muhimu zaidi.

- Nacheki online tutorials kwa kujibana bana naangalia chache

- Nadownload movies kwa kujibana bana nashusha 720 p ilhali tv yangu inazicheza vizuri zaidi 1440p

- Software updates nazo nazivizia,

-Youtube nacheki kwa 480p sijiachii na 720p

-Insta naingia kwa kuvizia

.... Napata wasi wasi kwamba wengi huenda wanatumia internet kwenye facebook tu
Unanloote uko kwa shemeji ako tu
 
Kila mbuzi anakula kutokana na urefu wa kamba yake mkuu. Zamani tulikuwa tunaangalia movies za Mb 100 kibishi bishi kwenye simu, Browser opera mini na Ucweb, simu zenye vioo vyenye resolution ndogo etc kwa mwezi humalizi hizo 10GB.
Maisha yamebadilika kwa sasa, teknoljia imeboreshwa zaidi kwa hio inahitaji input zaidi ili kutoa output ya kuridhisha.

Nina uhakika hapa bongo internet ikiwa unlimited watu wengi data usage zitakuwa ni wastani wa gb 3 daily, kuna votu kibao wengi wanajibana.

Expats kutoka nje wakijaga hapa bongo wanalalamikaga sana vifurushi haviwatoshi.
 
Back
Top Bottom