Watu wanaonishangaa kutumia GB 60 kwa mwezi (tena kwa kujibana) ni vipi wao wanatosheka na GB chini ya 10

Watu wanaonishangaa kutumia GB 60 kwa mwezi (tena kwa kujibana) ni vipi wao wanatosheka na GB chini ya 10

ukinunua kifurushi ukawa unalipia kabla hujakatiwa, let say tarehe 30 huduma inaisha ukalipa tarehe 29 unawapigia zuku wana double speed.
tusaidie speed tests mkuu...

ping vp kati ya adsl na hiyo zuku,,,
 
Unawezaje kutumia 750mb kwa week mkuu? Mimi kwa kujibana kwa siku 2gb zinakata na hapo najibana maana kuna siku natumia hata 6gb

Inabidi nitumie kidogo sina hiyo pesa ya kila siku
 
tusaidie speed tests mkuu...

ping vp kati ya adsl na hiyo zuku,,,
ping ya zuku ni around 2ms, sema mpaka uconect wired ndio unapata stable connection, nafkiri router zao ni low quality, adsl ni around 30ms mpaka 100ms inategemea ilivyoamka,

sina Access ya zuku hapa nilipo, kesho naweza kutumia speed.
 
ping ya zuku ni around 2ms, sema mpaka uconect wired ndio unapata stable connection, nafkiri router zao ni low quality, adsl ni around 30ms mpaka 100ms inategemea ilivyoamka,

sina Access ya zuku hapa nilipo, kesho naweza kutumia speed.
Aisee!!! 2 ms..... kama ulaya vile, sikudhani hii bongo ipo maana hapo Kenya tu wanalalamika Ping kuwa 150+ huko twitter,

Adsl kumbe nayo iko poa tu, ile upload limit ya 1Mbps nilikuwa nadhani ita affect ping
 
Aisee!!! 2 ms..... kama ulaya vile, sikudhani hii bongo ipo maana hapo Kenya tu wanalalamika Ping kuwa 150+ huko twitter,

Adsl kumbe nayo iko poa tu, ile upload limit ya 1Mbps nilikuwa nadhani ita affect ping
hio ni local ping mkuu, assume server ipo hapa hapa dar, kama server ipo USA, 150ms inakuhusu.

voda 5G ndio sijatumia pengine ika improve sana ping ya kimataifa
 
hio ni local ping mkuu, assume server ipo hapa hapa dar, kama server ipo USA, 150ms inakuhusu.

voda 5G ndio sijatumia pengine ika improve sana ping ya kimataifa
sasa kwa adsl itakuwaje kuping server za nje kama hio zuku ni 150 ms 😔
 
Yaani sana Mtu akitumia GB 1 kwa siku moja tu namuona wa ajabu[emoji1783][emoji1783][emoji1783]
no youtube, no tik tok , no instagram, no netflix Huko wsp ni kusoma text tu mambo mengine tunawaachia wenyewe[emoji23][emoji23], tutafute hela mkuu kuna mambo mengi yanakupita.
 
no youtube, no tik tok , no instagram, no netflix Huko wsp ni kusoma text tu mambo mengine tunawaachia wenyewe[emoji23][emoji23], tutafute hela mkuu kuna mambo mengi yanakupita.
Kwanini nijimwambafai Ndugu yangu ukweli utabaki ukweli tu, ila Sidhani kama matumizi ya MB ni kipimo cha maisha ya Mtu🤠🤠🤠🤠
 
Hivi unaujua utamu wa animation movies unaweza kuirudia kuiangalia na usichoke tofauti na movie ya kawaida kama hapa niko naangalia VIVO
Tuanzie kwenye muvi ulizopakua hivi karibuni naaomba majina yake.
NOTE: zisiwe katuni wala animesheni(nsyuka zilizo changamka yaani muvi za musa banzi zilizochangamka kama dr strange na nyingine kama hizo)

Maana ninyi mnaojinasibu kutumia GB nyingi unaweza kuta unaangalia cartoons tu hapo kwenu us
 
Back
Top Bottom