Watu wanaonishangaa kutumia GB 60 kwa mwezi (tena kwa kujibana) ni vipi wao wanatosheka na GB chini ya 10

Watu wanaonishangaa kutumia GB 60 kwa mwezi (tena kwa kujibana) ni vipi wao wanatosheka na GB chini ya 10

Tuanzie kwenye muvi ulizopakua hivi karibuni naaomba majina yake.
NOTE: zisiwe katuni wala animesheni(nsyuka zilizo changamka yaani muvi za musa banzi zilizochangamka kama dr strange na nyingine kama hizo)

Maana ninyi mnaojinasibu kutumia GB nyingi unaweza kuta unaangalia cartoons tu hapo kwenu ushuani
Umembana sana mbavu Bora Angesema tu xvideos ndio zinammalizia kifurushi... wala cartoon hazikombi sana kifurushi...😎😎😎
 
Mimi natumia 10GB per day nikishuka sana basi 5GB kwa siku kwenye fiber na hata siwazi wala kuona kama natumia internet kwa ukubwa.....
 
Hello!!! Naunganisha GB5.5 kwa wanao tumia tigo.. kifurushi hiki kinakaa ndani ya wiki mbili.. Kwa Shiling 6000 tu..malipo ni baada ya huduma kukamilika... Nipigie kwa namba hii 0713606060 naitaji watu walio ku
Njoo whatsapp nimekutxt
 
Mtoa mada anachosema sawa na kuwaambua watu

"nashangaa natumia 60,000 Kama Pesa ya kula na familia yangu kwa siku mbona ndogo Sana hii"

Kilamtu anaweza tumia zaidi ya hio 60,000 Kama Pesa ya kula ya siku suala ni uchumi ndio maana wanashangaa ndio Happ kwenye GB hizo GB ulizosema chache Sana kilamtu anaweza maliza hizo tatizo uchumi ndio maana watu wanajibana na vi 1GB na vi MB jua kuwa kilamtanzania anaso content za kucheki YouTube ila pesa nduo hawana Mimi ukiniwekea access ya unlimited Internet iliyovizuri hiyo GB 60 nazidisha Doube yake na ku-triple mala tatu yake sema natumia kihasi kidogo Sana Cha BG kwa Mwezi kutokana na uchumi wangu sometime nikibahatishaga vikazi vya kutumia MB nikiwa nafanya kazi nazima data na kuwasha kilamala software Kama Canva mpaka Leo ninayo kwenye PC ila siitumii kwasababu i nahitaji bando mida wote unavyotumia
 
Back
Top Bottom