Watu wanaoongoza kutoa likes humu Jf na watu wasio toa likes

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Hawa ndo nawaona mara kwa mara wakitoa likes

1:Shunie , huyu dada post nyingi ukimqoute lazima ulambe like

2: mshana jr

3:daudi mchambuzi

4: mc 7
5:chlorine gas hasa post za mondi ukimsifia


6:the boss

7:mtu mzito

8: eddy muhando
watu wasiotoa likes

1:miss natafuta aisee huyu jamaa sijawahi kuona akimpa mtu like sijui kitufe cha like hakipo kwenye kifaa chake anachotumia kuingilia JF

2:Valentina , huyu mchaga naye daah mbahili kichizi kutoa like

3:stunter; huyu brazameni naye hatoagi likes kabisa

4:nyani ngabu:huyu ngosha wa USA naye mbahili wa likes kichizi


Hii ndo list kulingana na maoni yangu wewe je ? toa list yako
 
What up nigga roh...

USA baby [emoji631] [emoji631] [emoji631]
 
I see we bwana umeishiwa kwani kutoa Like ni moja ya malengo ya jf? Kama hujanifurahisha nikupe tu Like ya kinafiki hahahaa utakua ujinga sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…