Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Hawa ndo nawaona mara kwa mara wakitoa likes
1:Shunie , huyu dada post nyingi ukimqoute lazima ulambe like
2: mshana jr
3:daudi mchambuzi
4: mc 7
5:chlorine gas hasa post za mondi ukimsifia
6:the boss
7:mtu mzito
8: eddy muhando
watu wasiotoa likes
1:miss natafuta aisee huyu jamaa sijawahi kuona akimpa mtu like sijui kitufe cha like hakipo kwenye kifaa chake anachotumia kuingilia JF
2:Valentina , huyu mchaga naye daah mbahili kichizi kutoa like
3:stunter; huyu brazameni naye hatoagi likes kabisa
4:nyani ngabu:huyu ngosha wa USA naye mbahili wa likes kichizi
Hii ndo list kulingana na maoni yangu wewe je ? toa list yako
1:Shunie , huyu dada post nyingi ukimqoute lazima ulambe like
2: mshana jr
3:daudi mchambuzi
4: mc 7
5:chlorine gas hasa post za mondi ukimsifia
6:the boss
7:mtu mzito
8: eddy muhando
watu wasiotoa likes
1:miss natafuta aisee huyu jamaa sijawahi kuona akimpa mtu like sijui kitufe cha like hakipo kwenye kifaa chake anachotumia kuingilia JF
2:Valentina , huyu mchaga naye daah mbahili kichizi kutoa like
3:stunter; huyu brazameni naye hatoagi likes kabisa
4:nyani ngabu:huyu ngosha wa USA naye mbahili wa likes kichizi
Hii ndo list kulingana na maoni yangu wewe je ? toa list yako