IamBrianLeeSnr
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 2,010
- 4,179
Hahahaa! Jina la ID yako linavaa uhusika wa akili yako inaelekea unamaarifa mengi 🤣🤣🤣Ndugu yangu.... Tuliyamaliza. Unadhani nlitoroka naye basi?
Hakujua wapi apeleke lawama zake, Sema amekupatia pamoja na maarifa yako yote, Kwa huyo dada ndio mwisho wa mbwembwe zako..Ni vile tu wanawake wanapenda huruma.
We mbwah umesema kweli kabisa...🤣🤣🤣🤣 Falah sana wewe yaani nimecheka ile mbaya. Nikasema huyu mbwah yupo sahihi......Ni ulimbukeni kumchukia mtu ambae kiuhalisi yupo kinadharia zaidi, maana kuna baadhi ya watu wanachangia kama mademu kumbe midume, kuna mafukara wanaojifanya matajiri. Kwa kifupi kumchukia mtu wa JF ni sawa na kumchukia actor anaeigiza kama adui kwenye movie, ni maigizo tu.
Katika point hiyo hiyo, kuna baadhi ya watu wanatafuta kuchukiwa kwa makusudi ili iwe ndio umaarufu wao. Maana unaweza kuta jitu linatukana tu pasi na sababu za msingi.
Kama vile baadhi tunavyofanya JF kuwa sehemu ya kupoteza muda, kuna wengine ndio sehemu pekee uwepo wao unatambulika hata ukiwa ni kwa jina la uongo. Ili kujipa thamani ya nafsi yake ndio unakuta anaanzisha maugomvi yasiyo na tija. Ukichunguza walio wagomvi wengi humu maisha yao halisi yamejaa upweke na jitimai.
Aaargh wapi. Nlimchezea mchezo alikuja gundua too late. Nlitumia hii ID alikuwa hafahamu kuwa nayo ni yangu akaja gundua kusudi langu too late. Wanawake tukae nao kwa akili bobHahahaa! Jina la ID yako linavaa uhusika wa akili yako inaelekea unamaarifa mengi 🤣🤣🤣
Hakujua wapi apeleke lawama zake, Sema amekupatia pamoja na maarifa yako yote, Kwa huyo dada ndio mwisho wa mbwembwe zako..
Daah! Mbona hivi tena jamaa amekosa nini sasa hadi kuwa mbwah!!We mbwah umesema kweli kabisa...🤣🤣🤣🤣 Falah sana wewe yaani nimecheka ile mbaya. Nikasema huyu mbwah yupo sahihi......
au hichi kipengele kina kuhusu Chizi MaarifaKatika point hiyo hiyo, kuna baadhi ya watu wanatafuta kuchukiwa kwa makusudi ili iwe ndio umaarufu wao. Maana unaweza kuta jitu linatukana tu pasi na sababu za msingi.
Umenena kweli mkuu, sionagi umuhimu was kumchukia mtu ambaye hujuani naye.pale mtu anapochukia kivuli ni kama anajichukia mwenyewe
Nadhani umeelewa point yangu. Kinachotafutwa hasa ni ule ubishani ambao kwa mwenye kutoa matusi kihalisia anatafuta njia ya kupata amani ya nafsi yake kwa kujibiwa ili ajihisi na yeye yupo ulimwenguni.Daah! Mbona hivi tena jamaa amekosa nini sasa hadi kuwa mbwah!!
nimeshamjua.....popoma.[emoji1787][emoji1787]Kuna mmoja hapo ikitokea raia wakawa wanampopoa na mawe mimi binafsi nitajitolea kuleta tipa ya mawe kabisa wasipate tabu. Ili wambonde vizuri apunguze kiherehere
Sent using Jamii Forums mobile app
3. Huyu demu jina lake limenitoka ila naye nimesoma mara kadhaa wakisema ana msongo wa mawazo kutokana na nyuzi anazoanzisha akiamini anarogwa, hapendeki,malaya,anatengwa, anaonewa wivu,anaonekana kachoka n.k so ikamfanya kila jambo katika hayo alifungulie uzi. Mpaka alipopelekwa hospital (watu wanasema hivyo) na kugundulika ana msongo wa mawazo na kulazwa ndo kumetulia. Huyu atakuwa binti mwembamba sana amekauka mwili
Kuna mmoja hapo ikitokea raia wakawa wanampopoa na mawe mimi binafsi nitajitolea kuleta tipa ya mawe kabisa wasipate tabu. Ili wambonde vizuri apunguze kiherehere
Sent using Jamii Forums mobile app
True saying budhaa! Ila watambue kwamba matusi ni mwanzo wa kujidharaulisha wenyewe na si kwamba wanaonekana ni werevu hapana tunawaona ni watu dhaifu kwenye jamii na si wenye maadili sawa sawa!Nadhani umeelewa point yangu. Kinachotafutwa hasa ni ule ubishani ambao kwa mwenye kutoa matusi kihalisia anatafuta njia ya kupata amani ya nafsi yake kwa kujibiwa ili ajihisi na yeye yupo ulimwenguni.
Hili namithilisha na kitendo cha kuibiwa nguo zako na mwendawazimu ukiwa unakoga na kuanza kumfukuza. Kwa halaiki wasiojua kilichotokea wewe ulie uchi ndie utaonekana mwendawazimu, halkadhalika kumjibu mtu anaekutukana pasi sababu atakaekutia matusi kati anaweza hisi wewe ulietukanwa ndie mkorofi.
malezi ya utotoni huakisi moja kwa moja tabia za ukubwani. Ukiona mtu anaendekeza matusi na lugha mbovu ujue hivyo ndivyo alivyolelewa na chances are hivyo ndivyo atakavyolea kizazi chake.True saying budhaa! Ila watambue kwamba matusi ni mwanzo wa kujidharaulisha wenyewe na si kwamba wanaonekana ni werevu hapana tunawaona ni watu dhaifu kwenye jamii na si wenye maadili sawa sawa!
Umemsahau mpwayungu village
Mpwayungu yeye ana bifu binafsi na waalimu yeye kila mda ni kushush tuu nyuzi na wanaparuana uko haswaa🤣🤣Umemsahau mpwayungu village