Watu wanaoongoza kwa kuchukiwa humu JF

Watu wanaoongoza kwa kuchukiwa humu JF

Mie sijawahi kupigwa Bann!! sijui Bunn! zenu hizo humu JF! nazisikiaga tu!...... lkn natoaga vipande hasa mtu akiniudhi! sijui kwa nini?? au wananiogopa mwenzenu daaa! ngoja niteremke palee chini kwanza narudi....


kweli kuna watu tuna bahati sana humu duniani!...ndo maana tuna hela asee!
 
Asa kumchukia usiye mjua si uchizi huo jamani?? au....wengine tukikuona ivo ndo tunafurahiiiiiiiiii
 
Ni ulimbukeni kumchukia mtu ambae kiuhalisia yupo kinadharia zaidi, maana kuna baadhi ya watu wanachangia kama mademu kumbe midume, kuna mafukara wanaojifanya matajiri. Kwa kifupi kumchukia mtu wa JF ni sawa na kumchukia actor anaeigiza kama adui kwenye movie, ni maigizo tu.

Katika point hiyo hiyo, kuna baadhi ya watu wanatafuta kuchukiwa kwa makusudi ili iwe ndio umaarufu wao. Maana unaweza kuta jitu linatukana tu pasi na sababu za msingi.

Kama vile baadhi tunavyofanya JF kuwa sehemu ya kupoteza muda, kuna wengine ndio sehemu pekee uwepo wao unatambulika hata ukiwa ni kwa jina la uongo. Ili kujipa thamani ya nafsi yake (validation and self-worth) ndio unakuta anaanzisha maugomvi yasiyo na tija. Ukichunguza walio wagomvi wengi humu utakuta maisha yao halisi yamejaa upweke na jitimai.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaaa!!
 
Na akija na utambulisho wa ID ya kike wote wanaomchukia wanaanza kumchombeza na kusifu hata pasipo stahili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli.
 
Kweli unauwakika au kwasababu hamjui k yangu ipoje??
Mtalamba chini kunichafua hapa wala jamani naheshima ninayoilinda ndio maana .

Swali wananilipia Kodi??
Je chakula Kwa siku , je mavazi je pumzi??
Wewe nani anipa afya njema mnayotaka kila siku niipoteze ni Mungu so kwendraa nkuri lesiu , narubi menye eata njelele mxiuu mtabaki sana
Wapeeee wapeee dyadyaaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unachukia I'd si wazimu huo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dyadyaas watu wana stress za maishaa yao, wanaamua kupumzikia kwa wengine.

Umaskinii mbayaas mnooo, khaaaah
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Umerudi toka kifungoni sifuri mmoja[emoji23][emoji23][emoji23] Welcome back little dude! Hope to see you cope with us again b’cause kind off we have been miss some of you’re opinions And about all that the stupid character and you’re idiotic mind...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umeandika nini? Kwa nini usingeandika kwa kiswahili. Ndiyo kusema JF kila mtu anajua ngeli au?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu wawekee na pichaaa, kwa uthibitishooo zaidi
Unakosaje evidence nawee? Unaniangushaa mwayaaaa.
FB_IMG_16736053612452962.jpg
 
Uko sahihi na kamwe huwezi kuwa Wewe pamoja na Kuiga Kwako ID yangu ili Usafirie Nyota yangu Kiumaarufu. GENTAMYCINE nitabaki kuwa ni Mimi Mmoja tu JamiiForums nzima na Wengine mtaishia tu Kuiga ID yangu, ila Madini yangu Tukuka yaliyoko Kichwani mwangu na Baraka za Upekee nilizonazo kamwe hamuwezi kuwa nazo.
Hilo jamaa litakuwa boya, Mimi nimesoma mara mbilimbili tofauti kumbe ni herufi ya mwisho tu ndiyo limebadili.
 
Yess nachukiwa hadharani, ila napendwaa mioyoni na nafsini mwao. lakini hizo sifa zilizotajwaa hapo sio mie.
Afu mie hizo mbna sio shida zangu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aunt
 
Back
Top Bottom