Watu wanaoongoza kwa kuchukiwa humu JF

Mie sijawahi kupigwa Bann!! sijui Bunn! zenu hizo humu JF! nazisikiaga tu!...... lkn natoaga vipande hasa mtu akiniudhi! sijui kwa nini?? au wananiogopa mwenzenu daaa! ngoja niteremke palee chini kwanza narudi....


kweli kuna watu tuna bahati sana humu duniani!...ndo maana tuna hela asee!
 
Asa kumchukia usiye mjua si uchizi huo jamani?? au....wengine tukikuona ivo ndo tunafurahiiiiiiiiii
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaaa!!
 
Na akija na utambulisho wa ID ya kike wote wanaomchukia wanaanza kumchombeza na kusifu hata pasipo stahili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli.
 
Wapeeee wapeee dyadyaaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unachukia I'd si wazimu huo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dyadyaas watu wana stress za maishaa yao, wanaamua kupumzikia kwa wengine.

Umaskinii mbayaas mnooo, khaaaah
 
Umeandika nini? Kwa nini usingeandika kwa kiswahili. Ndiyo kusema JF kila mtu anajua ngeli au?
 
Hilo jamaa litakuwa boya, Mimi nimesoma mara mbilimbili tofauti kumbe ni herufi ya mwisho tu ndiyo limebadili.
 
Yess nachukiwa hadharani, ila napendwaa mioyoni na nafsini mwao. lakini hizo sifa zilizotajwaa hapo sio mie.
Afu mie hizo mbna sio shida zangu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aunt
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…