Ndoa ni kuvumiliana.Watu wengi kwenye ndoa na mahusiano ya mke na mume wanaishi Ili siku ziende lakini moto unawaka. Wengi wanatamani kuachana tatizo wanaogopa ndugu jamaa na marafiki kwamba itakuwa stori. Kama kila ndoa na mahusiano yangekuwa na dunia yao asilimia kubwa tungetengana.
Msemo wa kuhamasisha ujinga.Ndoa ni kuvumiliana.
Usiogope kwa maneno ya kusikia , mbona dada nifah anakula tu bata na beibi wake[emoji848] makopa kopa kama yoteHizi story zinatuogopesha sana wakuu
Kwakweli mnatutisha😃Usiogope kwa maneno ya kusikia , mbona dada nifah anakula tu bata na beibi wake[emoji848] makopa kopa kama yote
Usitishike na maneno ya nyuma ya keyboard , kiuhalisia ni wainjilisti kinyama.Kwakweli mnatutisha😃
oukayUsitishike na maneno ya nyuma ya keyboard , kiuhalisia ni wainjilisti kinyama.
Kila kitu kina ukomo.Ndoa ni kuvumiliana.
Sasa watu mmefunguka.....ndoa ukileta uvumilivu kwa visivyovumilika then u dieMsemo wa kuhamasisha ujinga.
Unakuta unalivumilia jitu kumbe lina tatzo la akili et utalibadilisha au Mungu atalibadilisha , mkuu kimbia uvunjike.Sasa watu mmefunguka.....ndoa ukileta uvumilivu kwa visivyovumilika then u die
😂😂😂ngoja tuone....Unakuta unalivumilia jitu kumbe lina tatzo la akili et utalibadilisha au Mungu atalibadilisha , mkuu kimbia uvunjike.
Maisha ni madgo sna mkuu, kupoteza mda kwa jitu ambalo ham endani mifumo ni uzwazwa.😂😂😂ngoja tuone....
Mi nusura nichinjwe lakini watu wasivyowema wakasema ilipaswa nivumilie tu alikuwa ananitisha ,asingeniua kweli🙌Maisha ni madgo sna mkuu, kupoteza mda kwa jitu ambalo ham endani mifumo ni uzwazwa.
Kimbia uvunjike mkuu , mambo yakuangalia jamii inakuchukuliaje utakuja uwawa bure .Mi nusura nichinjwe lakini watu wasivyowema wakasema ilipaswa nivumilie tu alikuwa ananitisha ,asingeniua kweli🙌