Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole yake aisee,kutokujitambua tuKimbia uvunjike mkuu , mambo yakuangalia jamii inakuchukuliaje utakuja uwawa bure .
Kuna dada yangu mkubwa yupo kwa jamaa hamjali ,vipigo kila siku , tukampa mtaji wa kutosha afungue biashara afanye maisha yake , aachane na huyo jamaa , kaenda kukabidhi pesa kwa jamaa , akaitumia kwa wanawake na vipigo vikaendelea.
Sasa ivi hata aibu anaona kuturudia , wanawake inabidi mbadilike aisee sio lazima kuolewa kama haujapata mtu mwenye akili timamu.
SurePole yake aisee,kutokujitambua tu
Ss madam mtu km huyu acha nichekee tu maana mtu kashafukuza mara Tano na kurudisha mwenyewe Kwa makosa Yale Yale ya kufumaniaa ..ss utamshauri nn zaidi ya kuchekaa maana ukimshauri cku kamwachaa aipiti wiki kamrudishaa nakuanza kumwambiaa mke wake fulan alikuwa ananishauri nikuachee hapo kashafinyiwa Kwa ndani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama ni wewe ulikuwa unamjibu andika yako haijakaa kiume sana.....a a nyingi kweli mkuu
Ss madam mtu km huyu acha nichekee tu maana mtu kashafukuza mara Tano na kurudisha mwenyewe Kwa makosa Yale Yale ya kufumaniaa ..ss utamshauri nn zaidi ya kuchekaa maana ukimshauri cku kamwachaa aipiti wiki kamrudishaa nakuanza kumwambiaa mke wake fulan alikuwa ananishauri nikuachee hapo kashafinyiwa Kwa ndani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama ni wewe ulikuwa unamjibu andika yako haijakaa kiume sana.....a a nyingi kweli mkuu
😂😂😂😂huyo kachoka na maisha aisee.au mkewe ni MTU wa uganga sana?Ss madam mtu km huyu acha nichekee tu maana mtu kashafukuza mara Tano na kurudisha mwenyewe Kwa makosa Yale Yale ya kufumaniaa ..ss utamshauri nn zaidi ya kuchekaa maana ukimshauri cku kamwachaa aipiti wiki kamrudishaa nakuanza kumwambiaa mke wake fulan alikuwa ananishauri nikuachee hapo kashafinyiwa Kwa ndani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Cku hz mm akileta malalamiko km hayo najibu Kwa kucheka tu maana ni sikio la kufa[emoji23]
Familiaa nzimaa inaulizagaa hvyo au kalogwaa [emoji23][emoji23][emoji23] maanaa aambilikii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huyo kachoka na maisha aisee.au mkewe ni MTU wa uganga sana?
💋Hizi story zinatuogopesha sana wakuu
Ss c uivunje mkuu c ipo mikononi mwako [emoji23][emoji23][emoji23]Nami nafikiria nimechoka ndoa ....maudhi mengi sipendi .....Natamani niishi alone........nimemchokaaaa
Hiyo imeenda mkuu....Familiaa nzimaa inaulizagaa hvyo au kalogwaa [emoji23][emoji23][emoji23] maanaa aambilikii [emoji23][emoji23]
Will manage .....dont worry....but its toughSs c uivunje mkuu c ipo mikononi mwako [emoji23][emoji23][emoji23]
Au tuambie tukusaidiaje wadau kabla ujauwa mtu au ukauwa wewee humo Kwenye hyo vita ya ndoaa[emoji23][emoji23]
Ok sir.Will manage .....dont worry....but its tough
😂😂😂😂🙌Jamani ukweli ndio huo, watu wanaogopa kukimbia ndoa zao kwa sababu jamii itasema. Na kale kamsemo “KIKO WAPI" 🤣🤣🤣
Tukisemaa vijana tukatane ndoa mnasema tunakimbia majukumu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Anasema kabisa,hana jinsi😳....aiseeTukisemaa vijana tukatane ndoa mnasema tunakimbia majukumuView attachment 2837782
Sad,atakufa vibayaNdio akili tulizonazo
Tangu nilipogundua maadui wa ndoa nimekuwa nikiwapa maumivu ya kusaga meno bila wao kujua.Mpaka nawaonea huruma lkn bado tu wanakuja nawakanyaga mithili ya miguu inavyokanyaga siafu na wadudu barabarani matuta ni mengi mno ardhini kutokana na adhabu ya muumba wanayoipokea.Watu wengi kwenye ndoa na mahusiano ya mke na mume wanaishi Ili siku ziende lakini moto unawaka.
Wengi wanatamani kuachana tatizo wanaogopa ndugu jamaa na marafiki kwamba itakuwa stori. Kama kila ndoa na mahusiano yangekuwa na dunia yao asilimia kubwa tungetengana.
Kwisha hbr yk [emoji3]Anasema kabisa,hana jinsi[emoji15]....aisee