kinyamkela mahaba
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 1,178
- 1,596
Nyongo ya ng'ombe yeye ana kazi gani nayo?!Dah wauza bucha ni hatari na nusu, utasikia husband hayupo nikujie na nyama kilo usisahau na tumaini maini na nyongo ya ng'ombe hahaa
Lekchara wa koleji ipi? SAUT au?Mbona mimi ni Lekchara! Lakini pia ni Mheshimiwa! Halafu hujaniweka kwenye orodha yako?
🏃🏃🏃🏃🏃Lekchara wa koleji ipi? SAUT au?
Umesahau na wauza maji mtaaniWakuu Hawa ni Watu Ambao Wanaweza Kumla Mwanamke Wako Bure Kabisa.
-Ex Wake
-Baba Mchungaji
-Bosi Wake
-Rafiki Yake Wa Kiume
-Baba Mwenye Nyumba
-Dokta mtoa mimba
-Muuza Chipsi
-Bodaboda
-Mangi dukani(akimkazia)
-Wasafisha kucha na miguu
-Wasuka rasta wale wakiume
-chief admin wa group [emoji4]
-Muuza genge
Ahsante...Hapo hakuna hata mmoja...
KaribuAhsante...
Inapendeza sana...Karibu
Ulikuwa kimya ghaflaNgoja waje kutoa shuhuda zao...
Mambo mengi sana ya kutafuta pesa...Ulikuwa kimya ghafla
OK,keep it up! Pole na hongeraMambo mengi sana ya kutafuta pesa...
Ume chukua hatua ganiHapo kwenye Ex ndio nawatafuna Sana na wangu wananitafunia
Umesahau muuza bucha na muuza mkaa.Wakuu Hawa ni Watu Ambao Wanaweza Kumla Mwanamke Wako Bure Kabisa.
-Ex Wake
-Baba Mchungaji
-Bosi Wake
-Rafiki Yake Wa Kiume
-Baba Mwenye Nyumba
-Dokta mtoa mimba
-Muuza Chipsi
-Bodaboda
-Mangi dukani(akimkazia)
-Wasafisha kucha na miguu
-Wasuka rasta wale wakiume
-chief admin wa group [emoji4]
-Muuza genge
Kwa nini huna hisia na mkeo? Ulilazimishwa kumuoa?Mi mwenzio wa mlee tuu maana sina hata hisia nae...
Tena nlivyo hata nikiwafuma naweza wapisha nikaendelea na kazi zangu
Havituumizi kichwa ila uzi umeletwa kama ilivyo humu jf so acha tu watu wachangie hoja.Akiamua kuliwa analiwa na yoyote popote pale muda anaotaka yeye so hivi vitu visiumize kichwa sana
Mkuu umeshajiingiza kwenye list tena kwa umahiri wenu wewe uwe wa kwanza kwenye list.Mbona mimi ni Lekchara! Lakini pia ni Mheshimiwa! Halafu hujaniweka kwenye orodha yako?
Wewe nani?Mi mbona hamjanitaja......[emoji19]sjapenda!!