Watu wanaoweza kumla Mwanamke wako bure kabisa

Watu wanaoweza kumla Mwanamke wako bure kabisa

Uhuni ni tabia ya mtu tu , kuna wanaojiheshimu na kuheshimu ndoa zao hawawezi kuchepuka. Mbona huku mitaani mwetu wengi tu wametulia na ndoa zao.
Watu hawajatulia na ndoa zao, labda kama unawaangalia wakipita barabarani tu mkuu. Ndoa nyingi zina infidelity ya kwenda mbele...
 
Wakuu Hawa ni Watu Ambao Wanaweza Kumla Mwanamke Wako Bure Kabisa.
-Ex Wake
-Baba Mchungaji
-Bosi Wake
-Rafiki Yake Wa Kiume
-Baba Mwenye Nyumba
-Dokta mtoa mimba
-Muuza Chipsi
-Bodaboda
-Mangi dukani(akimkazia)
-Wasafisha kucha na miguu
-Wasuka rasta wale wakiume
-chief admin wa group [emoji4]
-Muuza genge

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wacha watugegedee tuu maana mwanamke kama unagegeda weye mwenyewe maana yake mwanamke wako sio mzuri, hana tako na ana sura personal. Tuache uchoyo jameni...de libilo na de mbususu tumepewa bure.
 
Wakuu Hawa ni Watu Ambao Wanaweza Kumla Mwanamke Wako Bure Kabisa.
-Ex Wake
-Baba Mchungaji
-Bosi Wake
-Rafiki Yake Wa Kiume
-Baba Mwenye Nyumba
-Dokta mtoa mimba
-Muuza Chipsi
-Bodaboda
-Mangi dukani(akimkazia)
-Wasafisha kucha na miguu
-Wasuka rasta wale wakiume
-chief admin wa group [emoji4]
-Muuza genge

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Umesahau mpiga picha(Cameraman)
 
Hainaga makombo...na kama ni wa kuliwa ataliwa tu hata na plumbers, shamba boy na hata mwanaume ye yote katika mazingira husika. Fanya mambo ya muhimu na usipoteze muda wako wa thamani kuwaza mkeo/mpenzi wako analiwa na nani. Mpende mkeo sana. Timiza wajibu wako kama mume, baba na kuhani wa familia na mengine yaache.

#KuchapiwaHakuepukiki
#KitandaHakizaiHaramu
#Kuchapiwanisiriyandani
 
Juzi kuna dada aliniomba nimsetie simu yake ilikuwa haiwashi data

Ilikuwa ni apn zili miss baada ya yeye kui reset simu

Sasa wakati ananipa alinipa ikiwa katika upande wa message. Kuisoma meseji nikaona dada kamtumia ujumbe mume wake akilaumu mienendo mibovu anayooneshewa na ndugu wa mume wake hapo nyumbani

Dada alikuwa akilalamika kwa hisia sana na kumshauri mume wake wahame upesi eneo hilo kwani yeye anavumilia kuishi hapo kwasababu anampenda mume wake tu.

Nikaangalia kwenye inbox nikakuta meseji kama ile kaifoward kwa namba mbili tofauti, nilichokuja kubaini kuwa hizo namba ni za wanaume wake wa nje

Namba moja ilikuwa na conversation tata ikimuita aje gest akabutuliwe, namba nyingine ilikuwa na sexy chart za kawaida tu
Sasa huu ni uongo embu utushushe tumefika
 
Back
Top Bottom