Watu wanapitia manyanyaso kwenye ajira

Watu wanapitia manyanyaso kwenye ajira

Eeh hata mimi suala la kumuita mtu boss au sijui nitetemeke au kujikunjakunja nikimuona hilo Mungu kaninyima.

Nakua humble kwa subordinate na nakua normal kwa superior.
Heshima ni muhimu sanaa kwa vitendo na maneno kumièeèita mtu boss upungukiwi chochote,....kuna taasisi moja ni lienda boss wao alikua padri, ila akiingia kwenye staffroom wote mnasimama kwanza mnatoa salamu na kukaa badaye. Mimi binsfsi hilo sio tatizo, tatizo ni pale ukianza kunionea bila issue ya maana.
 
Katika maisha yangu kumuita mtu Boss siwezi , Vyeti vyangu vipo vinaliwa na panya 😃 .

kuajiriwa sio kubaya na sio kila mtu ana misuli ya kujiajiri lakini nafahamu waajiriwa wanapitia manyanyaso mengi maofisini na sikuhizi kupata promotion hata uwe na sifa haupati watu wanapeana kwa connection ina discourage sana. Kama unauwezo wa kujiajiri i recommend you to do that
Huna hata hivyo vyeti ,unajifarijibguu hapa bwana jobless
 
Katika casual talks hamwezi kumsema vizuri boss sometime ile critique inamfanya boss kua unsecured, kuna siku naenda kazini nakuta ofisi imefingwa hamna mtu, kumbe walienda field wote ila mimi sina taarifa na boss alifanya makusudi kuniumiza,...... siwezi kuishi kinafiki na watu kamwee siwezi kuajiriwa tena labda iwe political post kama mkuu wa mkoa au wilaya, au ni ajiliwe na UN, ila kwa hao waswahili wetu hapana, bora nifanye umachinga wangu, usipo kua na Imani ya Dini unajikuta umeanza ushirkina ili upendwe kazini loh.
Dah kumbe kweli maofisini mnalogana kama tunavyologana mabodaboda
 
Mie nashindwa kuelewa kwani workmates wakipeleka vitu kwa boss na wewe unafanya kazi kwa weledi shida iko wapi au ulikuwa wampiga majungu boss
Unaweza fanya kazi kwa weledi lakini ukashangaa boss anakununia tu kisa kapewa mchongo na workmates kua unapiga ama la.
Mfano niliajiriwa taasisi fulani hivi, nafasi ya muhasibu, nilikua nakimbiza kazi balaa. Yaani kazi ikifika mezani mwangu nahakikisha lazima itoke,
Wafanya kazi wenzangu walinipongeza sana. Malipo hayachelewi, mwisho wa siku Boss kubwa akaniita akaniambia 'our account is at risk'. I'm too much paying. Nikajisemea moyoni eeh!
 
Unaweza fanya kazi kwa weledi lakini ukashangaa boss anakununia tu kisa kapewa mchongo na workmates kua unapiga ama la.
Mfano niliajiriwa taasisi fulani hivi, nafasi ya muhasibu, nilikua nakimbiza kazi balaa. Yaani kazi ikifika mezani mwangu nahakikisha lazima itoke,
Wafanya kazi wenzangu walinipongeza sana. Malipo hayachelewi, mwisho wa siku Boss kubwa akaniita akaniambia 'our account is at risk'. I'm too much paying. Nikajisemea moyoni eeh!
Sasa too much paying ndio ikoje hiyo...kwamba unawalipa wafanyakazi hela ya ziada ama?
 
Katika maisha yangu kumuita mtu Boss siwezi , Vyeti vyangu vipo vinaliwa na panya 😃 .

kuajiriwa sio kubaya na sio kila mtu ana misuli ya kujiajiri lakini nafahamu waajiriwa wanapitia manyanyaso mengi maofisini na sikuhizi kupata promotion hata uwe na sifa haupati watu wanapeana kwa connection ina discourage sana. Kama unauwezo wa kujiajiri i recommend you to do that
Boss mwite boss, mwizi mwite mwizi, tajiri mwite tajiri, masikini mwite masikini. Rahisi tu hakuna shida juu ya hilo. Sasa mtu kama ni bosi wako unataka umwite kijakazi?
 
Unaweza fanya kazi kwa weledi lakini ukashangaa boss anakununia tu kisa kapewa mchongo na workmates kua unapiga ama la.
Mfano niliajiriwa taasisi fulani hivi, nafasi ya muhasibu, nilikua nakimbiza kazi balaa. Yaani kazi ikifika mezani mwangu nahakikisha lazima itoke,
Wafanya kazi wenzangu walinipongeza sana. Malipo hayachelewi, mwisho wa siku Boss kubwa akaniita akaniambia 'our account is at risk'. I'm too much paying. Nikajisemea moyoni eeh!
Maofisini pia kuna kuoneana wivu. Ndioomaana katika kanuni za kijasusi huwa wanasema Never outshine your master . Hata boss hapendi afunikwe ki uwezo na mfanyakazi wake
 
Kinachokusumbua ni wivu wa kimaskini..boss ni boss TU hata usipomuita atabakia kuwa boss .mtu kaajiri watu anawalipa mshahara Kwann usimuheshimu?? Unadhan ni kitu rahisi jaribu na wewe...

Ukiendelea na hyo roho Yako ya wivu utabakia maskini daima!! Mna jina lenu nasikia mnajiita maskini jeuri!!!
 
Mimi nimejiajiri mwenyewe katika mchezo wa kamari.

nacheza kamari napata pesa
kama nauhakika wa kupata laki 3 kwa siku ambayo sawa na milioni 9 kwa mwezi ya nini kuajiriwa. 😃😃😃😃😃
 
Kinachokusumbua ni wivu wa kimaskini..boss ni boss TU hata usipomuita atabakia kuwa boss .mtu kaajiri watu anawalipa mshahara Kwann usimuheshimu?? Unadhan ni kitu rahisi jaribu na wewe...

Ukiendelea na hyo roho Yako ya wivu utabakia maskini daima!! Mna jina lenu nasikia mnajiita maskini jeuri!!!
Kiswahili kigumu. Hiyo mada inahusu au inasisitiza umuhimu au faida ya kujiajiri na sio kumdharau muajiri wako. Ukishaingia kwenye mifumo ya kuajiriwa inakupasa kuwa mnyenyekevu ili uishi
 
Acha tu ndugu yangu inafika hatua anakuja mgeni ofisni basi unakaushiwa kama hayakuhusu ni hatari ...Mimi nilitoka ofisi moja kwenda taasisi nyingine kama uhamisho mpaka leo hamna rangi nimeavha kuona .

Mwaka mzima hakuna hata training wala safari ya kazi , ila wenzio kila siku wanaenda safari .
Mkuu mkono mtupu haurambwi ulitakiwa kujiongeza
 
Back
Top Bottom