Watu wanapitia manyanyaso kwenye ajira

Watu wanapitia manyanyaso kwenye ajira

Kujiajiri kuna hitaji nidhamu ya 100%..sio kazi ndogo kabisaa...kuna muda unajikuta unaongea mwenyewe...kuna muda fedha yako mwenyewe inakuendesha kwenye mateso makali..kuna muda fedha ipo kula yako tuu ni mateso...muda wote kichwa kinawaza mahesabu...
 
Kinachokusumbua ni wivu wa kimaskini..boss ni boss TU hata usipomuita atabakia kuwa boss .mtu kaajiri watu anawalipa mshahara Kwann usimuheshimu?? Unadhan ni kitu rahisi jaribu na wewe...

Ukiendelea na hyo roho Yako ya wivu utabakia maskini daima!! Mna jina lenu nasikia mnajiita maskini jeuri!!!
Hawa ndo wanaimbaga ule wimbo wa vijana 'Sisi wenyewe mabosssssssssssss'
 
Back
Top Bottom