Kama ni boss wangu ntamwita boss. Sasa kuna shida gani kumwita boss wako boss maana ni ukweli ni boss.Na utamwita aliyekuteua boss?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni boss wangu ntamwita boss. Sasa kuna shida gani kumwita boss wako boss maana ni ukweli ni boss.Na utamwita aliyekuteua boss?
Bora ajiraaaaKatika maisha yangu kumuita mtu Boss siwezi , Vyeti vyangu vipo vinaliwa na panya 😃 .
kuajiriwa sio kubaya na sio kila mtu ana misuli ya kujiajiri lakini nafahamu waajiriwa wanapitia manyanyaso mengi maofisini na sikuhizi kupata promotion hata uwe na sifa haupati watu wanapeana kwa connection ina discourage sana. Kama unauwezo wa kujiajiri i recommend you to do that
Inaonekana una chemistry nzuri Sana na Boss wako pamoja na workmatesBora niendelee kuajiriwa tu kwakweli
100%Inaonekana una chemistry nzuri Sana na Boss wako pamoja na workmates
Safi Sana mkuu100%
Boss,nakubaliana na mchango wako, lakin kwenye hili la watu kwenda field wote ofisi nzima, afu huna taarifa yani ukiachilia mbali Boss wako kukupa taatifa, hata work mates wako wote hukua na mshakaji wako hata mmoja walau ambae atakua anakumegea mambo yanavyoenda??Katika casual talks amuezi kumsema vizuri boss wenu sometime ile critique ina mfanya boss kua unsecured, kuna siku naenda kazini nakuta ofisi imefungwa hamna mtu, kumbe walienda field wote ila mimi sina taarifa na boss alifanya makusudi kuniumiza, nili kaa wiki mbili bila ratiba au kazi mwezi huo mshahara nili pokea nusu ila si ku-mind nili sema poa tu...... mimi siwezi kuishi kinafiki na watu kamwee siwezi kuajiriwa tena labda iwe political post kama mkuu wa mkoa au wilaya, au ni ajiliwe na UN, ila kwa hao waswahili wetu hapana, bora nifanye umachinga wangu,.... usipo kua na Imani ya Dini unajikuta umeanza ushirkina ili upendwe kazini loh.
Jina jingine wanaitwa Chawa Millionaire dizaini ya Mwijaku Baba LevoInaonekana una chemistry nzuri Sana na Boss wako pamoja na workmates
We misomisondo unapigaje hapo? Tunaomba elimu nasieMimi nimejiajiri mwenyewe katika mchezo wa kamari.
nacheza kamari napata pesa
kama nauhakika wa kupata laki 3 kwa siku ambayo sawa na milioni 9 kwa mwezi ya nini kuajiriwa. 😃😃😃😃😃
Tukutane kitambaa cheupe sinza tupange mipango ya hiyo milioni 2Tupe michongo basi mili nina million mbili nijiajiri vipi
Mie kukaaa maeneo ya pombe siwezagi mzeya....njoo hapa chamazi complex nipo naangalia ball. Tukimaliza kuchekinkandanda tupange mipangoTukutane kitambaa cheupe sinza tupange mipango ya hiyo milioni 2
Umeipangua penalty mzee wa mbususuMie kukaaa maeneo ya pombe siwezagi mzeya....njoo hapa chamazi complex nipo naangalia ball. Tukimaliza kuchekinkandanda tupange mipango
Mie kweli pombe na mie we dnt mix at all na bar siwezagi kaaa.Umeipangua penalty mzee wa mbususu
Mimi sifanyi hivyo na siwezi.Heshima ni muhimu sanaa kwa vitendo na maneno kumièeèita mtu boss upungukiwi chochote,....kuna taasisi moja ni lienda boss wao alikua padri, ila akiingia kwenye staffroom wote mnasimama kwanza mnatoa salamu na kukaa badaye. Mimi binsfsi hilo sio tatizo, tatizo ni pale ukianza kunionea bila issue ya maana.
Kuna Madame mmoja tulikuwa tunamuita anopheles ili kujifurahisha mana alikuwa jau sana 😹😹😹Ni lazima umwite aliyekuajiri boss? Nakumbuka hata walimu shule tuliwatungia majina kujiridhisha nafsi.