Heshima ni muhimu sanaa kwa vitendo na maneno kumièeèita mtu boss upungukiwi chochote,....kuna taasisi moja ni lienda boss wao alikua padri, ila akiingia kwenye staffroom wote mnasimama kwanza mnatoa salamu na kukaa badaye. Mimi binsfsi hilo sio tatizo, tatizo ni pale ukianza kunionea bila issue ya maana.Eeh hata mimi suala la kumuita mtu boss au sijui nitetemeke au kujikunjakunja nikimuona hilo Mungu kaninyima.
Nakua humble kwa subordinate na nakua normal kwa superior.
Huna hata hivyo vyeti ,unajifarijibguu hapa bwana joblessKatika maisha yangu kumuita mtu Boss siwezi , Vyeti vyangu vipo vinaliwa na panya 😃 .
kuajiriwa sio kubaya na sio kila mtu ana misuli ya kujiajiri lakini nafahamu waajiriwa wanapitia manyanyaso mengi maofisini na sikuhizi kupata promotion hata uwe na sifa haupati watu wanapeana kwa connection ina discourage sana. Kama unauwezo wa kujiajiri i recommend you to do that
Dah kumbe kweli maofisini mnalogana kama tunavyologana mabodabodaKatika casual talks hamwezi kumsema vizuri boss sometime ile critique inamfanya boss kua unsecured, kuna siku naenda kazini nakuta ofisi imefingwa hamna mtu, kumbe walienda field wote ila mimi sina taarifa na boss alifanya makusudi kuniumiza,...... siwezi kuishi kinafiki na watu kamwee siwezi kuajiriwa tena labda iwe political post kama mkuu wa mkoa au wilaya, au ni ajiliwe na UN, ila kwa hao waswahili wetu hapana, bora nifanye umachinga wangu, usipo kua na Imani ya Dini unajikuta umeanza ushirkina ili upendwe kazini loh.
Umepagawa wewe boss anakuenyesha 😀Huna hata hivyo vyeti ,unajifarijibguu hapa bwana jobless
Mkuu huku nilishatoka siwezi kurudi kwenye fitina za kua ajiriwa na wa swahili tena, na pambana na umachinga wangu ila niko happy sanaa nina uhuru na uhakika wa kula na kulala kila sikuDah kumbe kweli maofisini mnalogana kama tunavyologana mabodaboda
Uhuru ndio kila kitu mkuu umechagua njia iliyo bora Big upMkuu huku nilishatoka siwezi kurudi kwenye fitina za kua ajiriwa na wa swahili tena, na pambana na umachinga wangu ila niko happy sanaa nina uhuru na uhakika wa kula na kulala kila siku
Umachimga mzeya mtaji kiasi gani unahitajikaMkuu huku nilishatoka siwezi kurudi kwenye fitina za kua ajiriwa na wa swahili tena, na pambana na umachinga wangu ila niko happy sanaa nina uhuru na uhakika wa kula na kulala kila siku
Mkuu mimi ni morden machinga kabisa sio wa kuzurura barabarani na vyombo, natumia mtaji mkubwa kdgo ila nili anza na $3500 2010, kwa kuangiza phone accessories dubai nawapa wenye vibanda kwa faida ndogo kuliko ya madukani.Umachimga mzeya mtaji kiasi gani unahitajika
Unaweza fanya kazi kwa weledi lakini ukashangaa boss anakununia tu kisa kapewa mchongo na workmates kua unapiga ama la.Mie nashindwa kuelewa kwani workmates wakipeleka vitu kwa boss na wewe unafanya kazi kwa weledi shida iko wapi au ulikuwa wampiga majungu boss
Sasa too much paying ndio ikoje hiyo...kwamba unawalipa wafanyakazi hela ya ziada ama?Unaweza fanya kazi kwa weledi lakini ukashangaa boss anakununia tu kisa kapewa mchongo na workmates kua unapiga ama la.
Mfano niliajiriwa taasisi fulani hivi, nafasi ya muhasibu, nilikua nakimbiza kazi balaa. Yaani kazi ikifika mezani mwangu nahakikisha lazima itoke,
Wafanya kazi wenzangu walinipongeza sana. Malipo hayachelewi, mwisho wa siku Boss kubwa akaniita akaniambia 'our account is at risk'. I'm too much paying. Nikajisemea moyoni eeh!
Boss mwite boss, mwizi mwite mwizi, tajiri mwite tajiri, masikini mwite masikini. Rahisi tu hakuna shida juu ya hilo. Sasa mtu kama ni bosi wako unataka umwite kijakazi?Katika maisha yangu kumuita mtu Boss siwezi , Vyeti vyangu vipo vinaliwa na panya 😃 .
kuajiriwa sio kubaya na sio kila mtu ana misuli ya kujiajiri lakini nafahamu waajiriwa wanapitia manyanyaso mengi maofisini na sikuhizi kupata promotion hata uwe na sifa haupati watu wanapeana kwa connection ina discourage sana. Kama unauwezo wa kujiajiri i recommend you to do that
Maofisini pia kuna kuoneana wivu. Ndioomaana katika kanuni za kijasusi huwa wanasema Never outshine your master . Hata boss hapendi afunikwe ki uwezo na mfanyakazi wakeUnaweza fanya kazi kwa weledi lakini ukashangaa boss anakununia tu kisa kapewa mchongo na workmates kua unapiga ama la.
Mfano niliajiriwa taasisi fulani hivi, nafasi ya muhasibu, nilikua nakimbiza kazi balaa. Yaani kazi ikifika mezani mwangu nahakikisha lazima itoke,
Wafanya kazi wenzangu walinipongeza sana. Malipo hayachelewi, mwisho wa siku Boss kubwa akaniita akaniambia 'our account is at risk'. I'm too much paying. Nikajisemea moyoni eeh!
Boss nikiwa na maana kutokuajiriwaBoss mwite boss, mwizi mwite mwizi, tajiri mwite tajiri, masikini mwite masikini. Rahisi tu hakuna shida juu ya hilo. Sasa mtu kama ni bosi wako unataka umwite kijakazi?
Oh nimekusoma. Siko kwenye mfumo wa ajira rasmi ila nikipata ajira ya kwenda kula nchi kwa urefu wa kamba yangu fasta nakwenda/Boss nikiwa na maana kutokuajiriwa
Si umuuluze boss wake alio muambia hivo.Sasa too much paying ndio ikoje hiyo...kwamba unawalipa wafanyakazi hela ya ziada ama?
Kiswahili kigumu. Hiyo mada inahusu au inasisitiza umuhimu au faida ya kujiajiri na sio kumdharau muajiri wako. Ukishaingia kwenye mifumo ya kuajiriwa inakupasa kuwa mnyenyekevu ili uishiKinachokusumbua ni wivu wa kimaskini..boss ni boss TU hata usipomuita atabakia kuwa boss .mtu kaajiri watu anawalipa mshahara Kwann usimuheshimu?? Unadhan ni kitu rahisi jaribu na wewe...
Ukiendelea na hyo roho Yako ya wivu utabakia maskini daima!! Mna jina lenu nasikia mnajiita maskini jeuri!!!
Mkuu mkono mtupu haurambwi ulitakiwa kujiongezaAcha tu ndugu yangu inafika hatua anakuja mgeni ofisni basi unakaushiwa kama hayakuhusu ni hatari ...Mimi nilitoka ofisi moja kwenda taasisi nyingine kama uhamisho mpaka leo hamna rangi nimeavha kuona .
Mwaka mzima hakuna hata training wala safari ya kazi , ila wenzio kila siku wanaenda safari .
Na utamwita aliyekuteua boss?Oh nimekusoma. Siko kwenye mfumo wa ajira rasmi ila nikipata ajira ya kwenda kula nchi kwa urefu wa kamba yangu fasta nakwenda/