Watu wanapitia manyanyaso kwenye ajira

Bora ajiraaaa

Uskgusee Γ±doaa mkuu kama badooo

Ukipigwa na vyote viwili utakufa
 
Kuajiriwa kunataka uwe na roho ngumu ya kuvumilia madhila utakayokumbana na huko kazini kutoka kwa Boss wako au workmates wako.
 
Boss,nakubaliana na mchango wako, lakin kwenye hili la watu kwenda field wote ofisi nzima, afu huna taarifa yani ukiachilia mbali Boss wako kukupa taatifa, hata work mates wako wote hukua na mshakaji wako hata mmoja walau ambae atakua anakumegea mambo yanavyoenda??
au nawewe una ka ujuaji flani maana kwenye kundi la watu hata kama unajua usijifanye mjuaji saaana otherwise watu wanaanza kukupangusa
 
Mimi nimejiajiri mwenyewe katika mchezo wa kamari.

nacheza kamari napata pesa
kama nauhakika wa kupata laki 3 kwa siku ambayo sawa na milioni 9 kwa mwezi ya nini kuajiriwa. πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
We misomisondo unapigaje hapo? Tunaomba elimu nasie
 
Kuna mda mitihani inayokuja kwenye maisha yako lazma uitumie vizur
 
Mimi sifanyi hivyo na siwezi.
 
Ni lazima umwite aliyekuajiri boss? Nakumbuka hata walimu shule tuliwatungia majina kujiridhisha nafsi.
Kuna Madame mmoja tulikuwa tunamuita anopheles ili kujifurahisha mana alikuwa jau sana 😹😹😹
 
Kwangu sina ukweli kuhusu kazi za kuajiriwa, I mean sina kazi. Ila nahisi uvumilivu, hekima, busara, utii na nidhamu ni nguzo tosha za kulinda kazi yako haijalishi BOSS atakuwa na roho gani kuna siku mungu atatia ukuu wake lazima uonekane. Lazima ubembeleze kinachokupa riziki kwani kuna wengi wanahitaji hiyo nafasi uliyoipata wewe, Lasivyo usipoweza kuvifanya hivyo utaonekana una kiburi cha uvivu.πŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…