Watu wanapitia manyanyaso kwenye ajira

Kujiajiri kuna hitaji nidhamu ya 100%..sio kazi ndogo kabisaa...kuna muda unajikuta unaongea mwenyewe...kuna muda fedha yako mwenyewe inakuendesha kwenye mateso makali..kuna muda fedha ipo kula yako tuu ni mateso...muda wote kichwa kinawaza mahesabu...
 
Hawa ndo wanaimbaga ule wimbo wa vijana 'Sisi wenyewe mabosssssssssssss'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…