Kinachokusumbua ni wivu wa kimaskini..boss ni boss TU hata usipomuita atabakia kuwa boss .mtu kaajiri watu anawalipa mshahara Kwann usimuheshimu?? Unadhan ni kitu rahisi jaribu na wewe...
Ukiendelea na hyo roho Yako ya wivu utabakia maskini daima!! Mna jina lenu nasikia mnajiita maskini jeuri!!!