Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli ni uongo uliorudiwa mara nyingi.Yeah, Yesu alikua na maswali mahususi, lingine aliuliza UKWELI NI KITU GANI mpaka leo halina jibu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaaa watu mnamajibu..na hiyo username yako sasa ndio nabaki kucheka tu
Wadau..Mbona umewatag hao...?
Ukweli ni uwezo wa kumuweka mtu huru, au kufanya kitu katika uhakika, i think nimekujibu vizuriYeah, Yesu alikua na maswali mahususi, lingine aliuliza UKWELI NI KITU GANI mpaka leo halina jibu.
Nitatolea uzi angalau kidogoMkuu umetumia lugha ngumu kuandika mchango wako. Please emphasize it kwa manufaa mapana ya taifa
Weka kifungu na sura wapi yesu aliuliza haya. ??Yeah, Yesu alikua na maswali mahususi, lingine aliuliza UKWELI NI KITU GANI mpaka leo halina jibu.
Majirani zangu wanasema yule kaka yupo vizuri ,jamaa ana roho kwatu kama mzungu,kwenye wallet hakosi box1(laki1).kiukweli natembea na buku7 au 10 yani haiishi wiki hajaja jirani kunigongea kwenye chumba nilichopanga kunikopa hela wakati sina hela na sijawai kukopesha mtu.Wewe ni yule mtu majirani wanayemuongelea. Fanya zoezi pita mtaani uulize kuhusu mtu fulani uone majibu
Unaigiza uhalisia wako mate, but you won't do it forever.
Ishi tu uhalisia wako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Majirani zangu wanasema yule kaka yupo vizuri ,jamaa ana roho kwatu kama mzungu,kwenye wallet hakosi box1(laki1).kiukweli natembea na buku7 au 10 yani haiishi wiki hajaja jirani kunigongea kwenye chumba nilichopanga kunikopa hela wakati sina hela na sijawai kukopesha mtu.
majirani wanasema mimi ni mpole kumbe sivyo ukinizingua nalipiza kisasi kimya kimya kwa akili kubwa.
Uongo wapi alipouliza ukwel ni kitu gan sehem pekee ilipoulizwa na pale mbele ya Herode ndiye aliyemuuliza kwel n nini @ na Herode hakujibiwa maana yeye aliye kwel alikuwa mbele yakeYeah, Yesu alikua na maswali mahususi, lingine aliuliza UKWELI NI KITU GANI mpaka leo halina jibu.