Watu wanasema mimi ni nani? Swali alilouliza Yesu linalofungua ubongo wa mwanadamu kujitambua

Watu wanasema mimi ni nani? Swali alilouliza Yesu linalofungua ubongo wa mwanadamu kujitambua

Nashukuru kwa kuirudisha mada yangu mahala pake. Much bless to you JF Max✌️
 
Kiumbe cha nyama aina ya human hom kinaweza kujiundia utawala wake na dunia yake kama kitafanya backup ya utashi kiliopandikizwa nao,linapokuja swala la kujitambua ni swala ambalo hutokea palipo na sababu fulani,na ili kiumbe kiwe hot mind identify ni lazima kikubwa na mipaka ya sababu mingi,kwa hatua tuliyoko sasa ili mtu upate sababu zilizo nyingi unapaswa kuzungukwa na oldnary mandhari ambayo inakuwa na mimea,milima,visasili na ardhi pamoja na maji tawala zote,na hiyo hatua ya utambuzi huchukua vizazi visivyopungua si chini ya50 kwa miaka50
 
Da'Vinci.
Asante sana kwa mada yako yenye maswali ya kutufikirisha sana sisi nduguzo. Hakika leo nimepata somo kubwa hapa! [emoji120]
 
Wewe ni yule mtu majirani wanayemuongelea. Fanya zoezi pita mtaani uulize kuhusu mtu fulani uone majibu
Majirani zangu wanasema yule kaka yupo vizuri ,jamaa ana roho kwatu kama mzungu,kwenye wallet hakosi box1(laki1).kiukweli natembea na buku7 au 10 yani haiishi wiki hajaja jirani kunigongea kwenye chumba nilichopanga kunikopa hela wakati sina hela na sijawai kukopesha mtu.
majirani wanasema mimi ni mpole kumbe sivyo ukinizingua nalipiza kisasi kimya kimya kwa akili kubwa.
 
Majirani zangu wanasema yule kaka yupo vizuri ,jamaa ana roho kwatu kama mzungu,kwenye wallet hakosi box1(laki1).kiukweli natembea na buku7 au 10 yani haiishi wiki hajaja jirani kunigongea kwenye chumba nilichopanga kunikopa hela wakati sina hela na sijawai kukopesha mtu.
majirani wanasema mimi ni mpole kumbe sivyo ukinizingua nalipiza kisasi kimya kimya kwa akili kubwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yeah, Yesu alikua na maswali mahususi, lingine aliuliza UKWELI NI KITU GANI mpaka leo halina jibu.
Uongo wapi alipouliza ukwel ni kitu gan sehem pekee ilipoulizwa na pale mbele ya Herode ndiye aliyemuuliza kwel n nini @ na Herode hakujibiwa maana yeye aliye kwel alikuwa mbele yake
 
Back
Top Bottom