Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😜Huo muda wa kukaa nitazame video hiyo mimi sina.
Narrate it for me
Walioandika biblia ndio walioandika negative way sio Mimi. Gavana haandiki bibliaComment zako zote hua unaandika kumuhusu Yesu, in nagative way. Man Up
Kwani Majini huwa yanasemaga Ukweli ?Walioandika biblia ndio walioandika negative way sio Mimi. Gavana haandiki biblia
Hivyo ndivyo walivyo agizwa na ndugu zao wa kijini. ni mpango halisi.Comment zako zote hua unaandika kumuhusu Yesu, in nagative way. Man Up
Kwani biblia iliandikwa na majini?Kwani Majini huwa yanasemaga Ukweli ?
Atakua alishalala huyu ,looo🤔Hongera sana andunje...
Usipoenda kanisani umesimama basi utapelekwa ukiwa umelala..
Ningeliona bandiko hili Wakati unaliandika. Hope I would have been not in this state.Enzi hizo akili zikiwepo kabla sijaanza Kvant na Double kick[emoji85]
Mkuu, Mimi ni mkristo nasoma Hilo andiko miaka nenda Rudi. Sijawahi fikiria hi I ulivyoandika. In 2018 tragedy occupied my carrier. Had I had passed this thread, I would have rejuvenated eventually tragedy, so, would have missed my carrier.Unamaanisha nini ndugu??
Pole sana Sir, but kila kitu kinatokea kwa kusudi fulani kwa sie tuaminio. Natumaini kuna kusudi la wewe kuona topic hii leo. Hujachelewa to recalibrate your past!Mkuu, Mimi ni mkristo nasoma Hilo andiko miaka nenda Rudi. Sijawahi fikiria hi I ulivyoandika. In 2018 tragedy occupied my carrier. Had I had passed this thread, I would have rejuvenated eventually tragedy, so, would have missed my carrier.