Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona yule pilato alishindwa kujibu hivi mkuu?Ukweli ni ithibati isiyoacha shaka kwa kaliba fulani ya watu ama jamii...
Mimi niko hapa bunju miaka yote na sikufahamu ingawa unapesa. Pole mr[emoji2] [emoji2] [emoji2]Mim ni Andunje bilionea kutoka Bunju mwenye kipara
Hadi leo sijui biblia ni gazeti au jarida gani....huu ni mwaka wa kumi sijagusa kanisa wala msikiti na sitegemei kwenda labda nikiwa mfu
Mimi ni mfupi,mwenye pesa na mpenda starehe
Umenikumbusha hadithi fulani ya zamaniWatu wengi ukiwauliza Hilo swali atakujibu Mimi ni Aisha John Mpambalyanga ,mjukuu wa Thabiti.
Kimsingi mtu SI JINA LAKE!!
ndio maana tuna Aisha wengi duniani,au tuna Aisha John wengi vile vile!!
Na bado wao SIO mtu mmoja!!
Miongoni mwa tafsiri ya jina namna TU ya kurahisisha uitaji na uitikaji!!
Kwenye nadharia za lugha, tunasema majina hurejelea tu kifaa fulani!!
Ndio maana kifaa cha kusafisha meno kinaitwa mswaki kwa kiswahili na kiingereza kinaitwa toothbrush,kichina wanakiita vingine
nadhariaa ,
Hii ni kusema kitu/mtu CHOCHOTE/YEYOTE kinaweza/anaweza kuitwa VYOVYOTE.
Asante mkuu, tuko pamojaUmechambua vizuri mkuu hongera umeongeza vizuri na kufanya mada kuendelea kuwa nzuri
Hii chai nayo chunguUmenikumbusha hadithi fulani ya zamani
Ndugu mmoja mswahili alienda china kwa mambo yake. Wakati mmoja alienda mgahawani na kuagiza chai
Kumbe ile chai haikukolea sukari. Sasa alishindwa namna ya kuomba aongezewe sukari akamwita mhudumu na kumwambia chai chungu kumbe chai chungu ndio jina la huyo mhudumu.
Hahahah necessity is the mother of creation ujue!..Hafu mabebez utawapata vp
mugu yupo lakini sio yesu wa kwenye bibliaNaomba mnisaidie kumjua huyo mtu aliyetunga habari za Yesu mnazareti,kwani uwezo wake haukua wa kibinaadamu,hivi aliwezaje kutunga hadithi ya Mtu mkamilifu vile,ambae aliishi kwa uwezo wa ajabu,nisaidieni nimjue mtu huyo ili nimwabudu Mungu kupitia yeye,na hata kama Mungu hayupo nimwabudu huyo kwa hadithi yake ya ajabu ya kisa cha Yesu aliyemwita mwana wa Mungu aliye juu.
kuna vitabu vya wanahistoria na waandishi kipindi hicho waliandika kuhusu yeye ingawaje walidanganya kuhusu elimu yakeKwanini yeye unapinga hakuwepo lakini socrate alikuwepo???
Shukran....Hongera mkuu jaribu kujiuliza hayo maswali pale juu uone utapata majibu gani..kisha kama wamwamini Mungu muombe utafunuliwa kwani yeye ndio anakufaham zaidi
Ithibati ni nini?Ukweli ni ithibati isiyoacha shaka kwa kaliba fulani ya watu ama jamii...
Naam ndio maana yesu atabaki kua mwanafalsafa namba moja ulimwenguni na hakuna atakaye vunja hio rekodi
Kwani wewe waonaje?
Mwanzo hilo swali niliulizwa nikashindwa kulijibu kabisa japo nililiona ni rahisi sana..Huu uzi ukisoma bila kutafakari unaweza ukauchukulia wa kawaida ila kiukweli una ujumbe mzito sana hongera kiongozi kwa hilo
Wewe ni nani .? ni swali rahisi ila ukiuliza watu hilo swali nina uhakika majibu ya walio wengi watasema kwa kujibu mimi ni mtu nilieumbwa na mungu ukiona mtu amejibu hivyo ujue amejibu asilmia 30 ya jibu yaan hata nusu hajafika
Somo lako zuri na nimelipenda sana japokuwa ktk reference zako mimi huko sipo siziitaji siamini uwepo wa mungu hakuna mungu hayo mafundisho nakuachia
"ufanyeni mti kuwa mzuri na matunda yake kuwa mazuri au ufanyeni mti kuwa mbaya na matunda yake kuwa mabaya kwa maana kwa matunda yake mti utatambulikana" mathayo 12:33
Mwanzo hilo swali niliulizwa nikashindwa kulijibu kabisa japo nililiona ni rahisi sana..