Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hivi wew ni nani???
Mambo mengi safari mingi jamaa yangu!.. But mwezi ujao ntakua free zaidi.Thanks mate nawe uwe na weekenda njema..
Umepotea sana mate
Naomba mnisaidie kumjua huyo mtu aliyetunga habari za Yesu mnazareti,kwani uwezo wake haukua wa kibinaadamu,hivi aliwezaje kutunga hadithi ya Mtu mkamilifu vile,ambae aliishi kwa uwezo wa ajabu,nisaidieni nimjue mtu huyo ili nimwabudu Mungu kupitia yeye,na hata kama Mungu hayupo nimwabudu huyo kwa hadithi yake ya ajabu ya kisa cha Yesu aliyemwita mwana wa Mungu aliye juu.jesus never existed,plain and simple
what is wrong with you black people!!!
Mambo mengi safari mingi jamaa yangu!.. But mwezi ujao ntakua free zaidi.
Usisahau kunitag machapisho yako vinci!... Nakutana na tag za MMU mpaka mepazoea kure!..Nakutakia kazi njema. Nimemiss machapisho yako humu mkuu
Nina moja ya sehemu panaitwa Mbande utaipenda!..Hizo safari tuwe tunaenda wote
Usisahau kunitag machapisho yako vinci!... Nakutana na tag za MMU mpaka mepazoea kure!..
Nina moja ya sehemu panaitwa Mbande utaipenda!..
[emoji10]Na mji wowote au kijiji chochote mtakachoingia tafuteni ni nani humo aliye mtu mwaminifu mkae kwake hata mtakapotoka [emoji120][emoji10]
Asante babe wa shunie kwa neno zuri kwa usiku huu ubarikiwe sana
Panatumia Akili ndogo kucomment kule [emoji23] 😉[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Halafu sitaki uweke makazi kule unaharibika
Morogoro after Gairo going Dom.. Full manyama nyama!..Mbande hii ya mbagala au kuna nyingine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sitaki uwe addicted kulePanatumia Akili ndogo kucomment kule [emoji23] 😉
Kumbe karibia na Dom pia kuna mbande ulivyonitajia manyama nyama yaani umeshanivuruga napenda nyama mmMorogoro after Gairo going Dom.. Full manyama nyama!..