Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo tupo naye hapa nikupe uongee naeKuna mwenzako anaitwa andunje umemuona
Mkuu uwe unan quote ukileta uzi ... Unaandika fresh salute ...Mpe niongee nae
Unaweza kuthibitisha hizo Assumptions potofu..?
Mtu Kama wewe hutakiwi Kukosea Kitu Basic Kama Hiki.. Anaitwa Sir Isaac Newton bila kutaja Sir utakuwa umemtaja mtu Mwingine..Issac Neawton
Una mwandiko kama wa dada yanguPamoja sana kichaa wangu nimekuongeza kwenye orodha
Yaah ukilitamka Vibaya unatukosea WanaFizikia.. Hongera lakini Bwana Mdogo..Bahati nzuri umeelewa nilikua namlenga nani...
Biblia ni kama methali za Kiswahili, nafikiri na sisi tungeendeleza methali zetu, hadithi zetu na historia zetu, tungeweza kuwa na kitu kama Bibliayetu.sitaki kuwa upande wowote hapa ila nimejaribu kumuelewa Da'Vinci na ametuelimisha kulingana na uelewa wake na References zake,
na wewe pia unaweza ukawa na mawazo yako (assumptions) ambazo either zikakubaliana hizi au zikapingana...muhimu ni tuwekee hapa tuzidi kufungua fahamu zetu,
2. Biblia inaweza ikawa na majibu na isiwe na majibu inategemea na wewe msomaji.
3. Purpose inaweza isiwe kitu cha lazima kwa mtazamo wako lkn inaweza ikawa ni muhimu pia....sitaki kuamini kama kuna mtu anaweza kulala asiwe na hata jambo moja analonia kulifanya kesho yake au siku za usoni baadae!
mimi ni mtazamo wangu huu....nipo hapa kukosolewa na kujifunza pia.