Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So uliamua kua wewe ni nani?Hilo swali la mimi ni nani..? huwa najiuliza ninapokuwa na mgogoro(mawazo mawili kinzani)mimi binafsi!,hivyo naamua kwa kuangalia sifa zangu,kanuni zangu au nitakavyo ikiwamo faida na hasara za kitu husika and then naamua kuwa nani kati ya hiyo mitazamo miwili inayokita kichwani.
Tupo tunaopenda kusoma mkuu ukiwa na ujumbe mubashara usisite kutupatia vijana wenzioHongereni
Namshukuru Mungu leo nimetoa mzigo mzito uliokuwepo kichwani toka mwezi wa 2 nilikua nafikiria kuandika hiki kitu japo nimeandika kwa uchache kulinganisha na kile nachofahamu.
Natamani vijana wenzangu wote wapate elimu ya kujitambua ila hawapendi kusoma.
Natamani ningekua nakipaji cha kuzungumza vizuri .
Sawa mkuuPamoja sana kaka nitakua naweka
Mtazamo wako unafanana sana kama wa huyu GuruBiblia ni kama methali za Kiswahili, nafikiri na sisi tungeendeleza methali zetu, hadithi zetu na historia zetu, tungeweza kuwa na kitu kama Bibliayetu.
Kwa nininasema Biblia ni kama methali za Kiswahili? Biblia ina mambo mengi sana, ila haina majibu, majibu unayo mwenyewe na utachagua Biblia ikuambie nini wewe mwenyewe.
Biblia ni kama methali za Kiswahili, useme unatakakujua, kipi ni kizuri, kwenda haraka, au kwenda polepole, kwa kuangalia methali za Kiswahili.
Ukitaka jibu la swali hili, utahamanika.
Kwa sababu, utakutana na methali moja inakwambia "haraka harakahaina baraka" halafu ukiangalia methali hizo hizo utakutana na methali nyingine inakuambia "Ngoja ngoja yaumiza matumbo".
Utaanza kujiuliza, sasa nifuate ipi hapa? Niende haraka kwa sababu ngoja ngoja itaumiza matumbo? Au niende polepole kwa sababu haraka haraka haina baraka?
Kumbe mambo yanategemea na muktadha, na ukiujua muktadha, unaweza kuchagua methali nzuri ya kutumia pale ulipochelewa kwenda kazini na speed limit inakuruhusu kuongeza mwendo, au pale ambapo hujachelewa kazini na ushapita speed limit.
Ukisema "purpose inaweza kuwa kitu muhimu pia" hilo halina mjadala. Chochote kinaweza kuwa kitu muhimu kutegemea na muktadha. Sijaongelea kinachoweza kuwa muhimu kulingana na muktadha, naongelea kilicho cha lazima katika muktadha wowote.
Unaweza kukuta jani limepeperushwa na upepo kutoka mtini likafika mlangoni mwako kwa ajali ya upepo tu, ukaanza kujiuliza "what is the meaning and purpose of this leaf being here?".
Unaweza kupata kichaa kutafuta purpose katika mambo ya chance tu ambayo hayana purpose wala direction.
Mtazamo wako unafanana sana kama wa huyu Guru
Sijui ndugu yako.!?[emoji16]
View attachment 1566004
[emoji327] Were We Really Created by God? - Sadhguru - YouTube
Hujajibu hoja ya kusema Mungu hayupokwa "problem of evil", kama hata umeielewa.Hata huyu akikutana na Mwanateolojia aliyeiva hoja zake zinakua nyepesi kama unyoya..
this is laughableNaam ndio maana yesu atabaki kua mwanafalsafa namba moja ulimwenguni na hakuna atakaye vunja hio rekodi
Nitawezaje kuthibitisha kitu ambacho hakijawahi kuwepo thibitisha wewe historicallyUnaweza kuthibitisha kutokueepo kwake..?
Socrate alikuwepo??nitawezaje kuthibitisha kitu ambacho hakijawahi kuwepo
thibitisha wewe historically
hakuna muandishi/mwanahistoria wa karne ya kwanza aliyeandika juu ya mtu huyo (wa kubuni) kuwa alitembea juu ya maji,alifufua wafu
alikuwepo, historically ameandikwa na vitabu vipoSocrate alikuwepo??
Mbona wacheka?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
nimemjua kupitia maandiko yanayoitwa bibliaYesu umemjua vipi?