Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona Gwagon ya Lugumi nini? Umeona Range 2024 Autobiography? Umeona LC 300 Uchafu? Cadillac Escalade ,Bentley ,Sijaona Astom Martin ,Sijaona Maybach ,Sijaona Royce Rolls.Nchi imefunguliwa kimya kimya inavyoonekana maana watu wanasukuma vyuma vya bei mbaya sana .
Kiukweli hapa DSM watu wanasukuma magari ya bei mbaya hatari.
Umeona Gwagon ya Lugumi nini? Umeona Range 2024 Autobiography? Umeona LC 300 Uchafu? Cadillac Esclade ,Bentley ,Sijaona Astom Martin ,Sijaona Maybach ,Sijaona Royce Rolls.
Amri ya Tisa na ya kumi.inasemaje?Jana nilikuwa sinza , aisee watu wanapesa mkuu .
Sasa imagine Bashite anagawa tu zawadi za Range anamtaja wazi wazi Bibi wa Kizimkazi kuwa wameshirikiana, kama siyo Uhuni na wizi wa mchana kweupe ni kitu gani?Nchi imefunguliwa kimya kimya inavyoonekana maana watu wanasukuma vyuma vya bei mbaya sana .
Kiukweli hapa DSM watu wanasukuma magari ya bei mbaya hatari.
Wacheni watu wafurahie matunda ya matumizi ya akili zai...hata kama mafisadi...😂😂😂Umeona Gwagon ya Lugumi nini? Umeona Range 2024 Autobiography? Umeona LC 300 Uchafu? Cadillac Escalade ,Bentley ,Sijaona Astom Martin ,Sijaona Maybach ,Sijaona Royce Rolls.
Kama LC 300 Lugumi ameona ni uchafu sijui IST ,RAUM anaona ni nini aiseeee... 😀 😀 😀Zile gari zetu IST , RAUM , Spacio sasa zinaonekana Kama uchafu hapa DSM
Wacheni watu wafurahie matunda ya matumizi ya akili zai...hata kama mafisadi...😂😂😂
Jiwe alivyovuta Jamaa alipiga muziki siku tatu mfululizo akachinja ngo'ombe mzima ,aliteseka sana kipindi cha JIWE muache aenjoy sasa maana alikimbia nchi.Rugumi Ana hatari Sana mrija wake umerudi
Karibu Mjini...katavi wazima?Nchi imefunguliwa kimya kimya inavyoonekana maana watu wanasukuma vyuma vya bei mbaya sana .
Kiukweli hapa DSM watu wanasukuma magari ya bei mbaya hatari.
🤔🤔🤔Jiwe alivyovuta Jamaa alipiga muziki siku tatu mfululizo akachinja ngo'ombe mzima ,aliteseka sana kipindi cha JIWE muache aenjoy sasa maana alikimbia nchi.