Watu wanasukuma Magari ya bei mbaya sana hapa DSM inaonekana nchi imeshafnguliwa tayari.

Watu wanasukuma Magari ya bei mbaya sana hapa DSM inaonekana nchi imeshafnguliwa tayari.

Sifa za kipekee zimuendee mama kwa kuruhusu ulaji kwa urefu wa kamba za wahusika.

Mama 20 tena, mpaka ufisadi uingie rasmi kama kipengele cha katiba.
 
Amri ya 10 inawahusu wabongo ambao ni wapiga kura

Desire (kutamani ) in positive way ni muhimu katika ku chase dreams.
ila mkuu hapa tz ukipata nafasi inayohusu sirikali kwenye maswala ya pesa itumie😌haijalishi watasema nini,,ili nasisi tutamani na wao pia watamani.
 
Yeah ni vizuri mkuu sijapinga ,napenda sana watu wa DIZAINI kama hao ,wanatupa hasira kwamba kila kitu kinawezekana ,Big Up pia kwa chifu godilavu ,Lugumi amempa Chifu Gudilavi milioni 25 kisha akamwambia nenda KAWANYOOSHE mtaani hahaaaaa.
Sometimes napenda sana l igiza hasošŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚.
Yaani nikiona mtu kafanikiwa nakuwa na hasira sana za kutafuta.

Badala ya kujifarijii eti ooh hao sijui mafisadi au wezi...badala yake inanipa hamasa kutafuta
 
Hivi Dar watu wanatoaga wapi hela jmn kila ukigeuka ni gari zaidi ya milion 300/500 au mim ndio sijui kutafuta hela.Ila bhn bhn mmh ngoja nikae kimya
 
Back
Top Bottom