Hahahaha asitamani au sio 🤣Amri ya Tisa na ya kumi.inasemaje?
Njaa inakusumbuaMa used ndio yamejaa
ila mkuu hapa tz ukipata nafasi inayohusu sirikali kwenye maswala ya pesa itumie😌haijalishi watasema nini,,ili nasisi tutamani na wao pia watamani.Amri ya 10 inawahusu wabongo ambao ni wapiga kura
Desire (kutamani ) in positive way ni muhimu katika ku chase dreams.
Sometimes napenda sana l igiza haso😂😂😂.Yeah ni vizuri mkuu sijapinga ,napenda sana watu wa DIZAINI kama hao ,wanatupa hasira kwamba kila kitu kinawezekana ,Big Up pia kwa chifu godilavu ,Lugumi amempa Chifu Gudilavi milioni 25 kisha akamwambia nenda KAWANYOOSHE mtaani hahaaaaa.
Mirija ya upigaji iko waziwaziZile zitakuwa used kweli mkuu sikirii Kama wabongo tumeshafika hii hatua ya kusukuma range kilometers zero
Anakwambia kama anaigiza na wewe igiza....Jamaa mambo anayofanya online ndiyo anavyoishi ,ndinga hizo unazoziona online ndiyo anazopush kitaani.Hivi huyu Chief Godlove ni tajiri kweli au mbwembwe tu mitandaoni
Lazima wapo wachache wanaoweza mkuuZile zitakuwa used kweli mkuu sikirii Kama wabongo tumeshafika hii hatua ya kusukuma range kilometers zero
Hicho ndicho muhimu 😄Pole wengine wanasukuma maisha.sio mbaya
We unasukuma nn mkuu,Nchi imefunguliwa kimya kimya inavyoonekana maana watu wanasukuma vyuma vya bei mbaya sana .
Kiukweli hapa DSM watu wanasukuma magari ya bei mbaya hatari.
Hahahahahahah huo ulikuwa mstari wa Mwana Fa nadhani🤣Kikubwa pumzi. Range na Vitz wote tunafika tuendako.
Na bado mpaka wakome kabisa. Kuna tabaka la kifisadi limerejea. Masikini hana kauli tenaMmempa mjinga kuongoza maskini. Tulieni sindano iwaingie