Watu wanene (vibonge) ni waungwana sana ila wengi ni matapeli

Watu wanene (vibonge) ni waungwana sana ila wengi ni matapeli

Slowly

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
10,589
Reaction score
35,268
Ukifatilia hata hapa mjini hawa jamaa ndo wanaongoza kwa black market , kuwa makini sana unapoanza kufanya dili na mtu kibonge , ni wacheshi wazee wa mastory ya kusisimua ila kukuingiza kwenye smuggling ni kugusa tu.

Ongeza umakini unapokutana na dalali bonge.

images - 2023-03-19T065254.234.jpeg
 
Ukifatilia hata hapa mjini hawa jamaa ndo wanaongoza kwa black market , kuwa makini sana unapoanza kufanya dili na mtu kibonge , ni wacheshi wazee wa mastory ya kusisimua ila kukuingiza kwenye smuggling ni kugusa tuu
nakubaliana na wewe, nina marafiki 2 ni wanene na wote ni wacheshi sana wastaarabu hawana gubu ila wote wana pigo za kautapeli.

Labda tu pia niongeze kwa upande wa wanawake vibonge hawana gubu ila ni wepesi sana kupoa penzi yaani hawajui kukataa. Hili nimeligundua kwa uzoefu na hata kwa shuhuda za wana.
 
nakubaliana na wewe, nina marafiki 2 ni wanene na wote ni wacheshi sana wastaarabu hawana gubu ila wote wana pigo za kautapeli.

Labda tu pia niongeze kwa upande wa wanawake vibonge hawana gubu ila ni wepesi sana kupoa penzi yaani hawajui kukataa. Hili nimeligundua kwa uzoefu na hata kwa shuhuda za wana.
Wanawake wanene yale mautelezi yanawaletea nyege yaani hata wakiwa wanatembea wanajenerate heat inayowaletea nyege , akiongeleshwa tu nawanaume anaanza kuwa wet ... Ndo mana ni easy sana kuliwa ....

Ukiwa na mwanamke mnene inatakiwa uwe mpigaji wa show haswa ili kupunguza kupigiwa , hata hvyo kadr mda unavyoenda na nguvu zako kupungua lazima ataburuzwa tuu na wahuni wa mjini
 
Ma Biggie ni wakarimu sana ila baadhi yao ndo wanawaharibia hasa wale madalali. Ukimkuta dalali halafu biggie juwa kukuuzia chumba chenye utata ni uhakika sema wana roho ya kuaminika ambayo wakiitumia vibaya inawaharibia sana.
 
Wanawake wanene yale mautelezi yanawaletea nyege yaani hata wakiwa wanatembea wanajenerate heat inayowaletea nyege , akiongeleshwa tu nawanaume anaanza kuwa wet ... Ndo mana ni easy sana kuliwa ....

Ukiwa na mwanamke mnene inatakiwa uwe mpigaji wa show haswa ili kupunguza kupigiwa , hata hvyo kadr mda unavyoenda na nguvu zako kupungua lazima ataburuzwa tuu na wahuni wa mjini
Ulichosema ni kweli tupu. Na ukikuta mwanamke bonge alafu lizuri aise lazima litafunwe mtaani sana. Mimi kwa kumbukumbu zangu sijwahi kukataliwa na mwanamke bonge tena wengine nimepiga bila hata kutongoza ile kula kimasihara. Aise wapewe miaka mingi hawa viumbe.
 
Ma Biggie ni wakarimu sana ila baadhi yao ndo wanawaharibia hasa wale madalali. Ukimkuta dalali halafu biggie juwa kukuuzia chumba chenye utata ni uhakika sema wana roho ya kuaminika ambayo wakiitumia vibaya inawaharibia sana.
Ni wana sana , hata mkiharibikiwa basi njiani wao ndo huanzisha story mpak mnasahau kama mpo porini
 
Back
Top Bottom