Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Kweli malumbano haya yametuonesha the deep side of thinking capacity ya watu! Kwani hii picha ni ya leo? Mbona kila mwenye akili na kufuatilia siasa za TZ anaijua? Leo ndiyo ilete kaburi?Kuna hili bango linadaiwa kuonekana huko Dodoma katika Mkutano Mkuu wa CCM.
HIili bango kwangu ndio kaburi la Mbowe unless wakanushe
CCM wamekosa maarifa kwa kiasi kikubwa sana.
Sijui ni nani alishauri kitu kama hiki wakati huu Mbowe amechafuka.
Team Lissu sijui Mungu awape nini tena kwenye huu uchaguzi zaidi ya hili Bango.
Anayoyasema Lissu sasa yanatimia kwa vitendo.
Mungu fundi sana
View attachment 3204920
Source: Akaunti ya Mdude kwenye mtandao wa X.
Hii sio simple issue, ni great issue of public concern, especially wale ambao wapo na critical minded.Kweli malumbano haya yametuonesha the deep side of thinking capacity ya watu! Kwani hii picha ni ya leo? Mbona kila mwenye akili na kufuatilia siasa za TZ anaijua? Leo ndiyo ilete kaburi?
salary jiepushe na simple issues kama hizi za Iron boys!
Mkuu neno shallow minded sio tusi, kwa namna ulivyo litafsiri aliye liandika hajakosea.narrow minded ? matusi tena? why matusi? muulize mama yako vinginevyo tusingelikuzaa
Wakiangamizwa si ndiyo wanakua wameangamia?Vema.Mstari ufuatwe ulivyo.Nenda kausome huo mstari tena. Sio watu wanaangamia. Ni watu wanaangamizwa.
Mbowe Bora stoke,maana hata mdahalo wa Startv,kaingia mitini kuonyesha kuwa hana jipya mbali na sura yake!Kuna hili bango linadaiwa kuonekana huko Dodoma katika Mkutano Mkuu wa CCM.
HIili bango kwangu ndio kaburi la Mbowe unless wakanushe
CCM wamekosa maarifa kwa kiasi kikubwa sana.
Sijui ni nani alishauri kitu kama hiki wakati huu Mbowe amechafuka.
Team Lissu sijui Mungu awape nini tena kwenye huu uchaguzi zaidi ya hili Bango.
Anayoyasema Lissu sasa yanatimia kwa vitendo.
Mungu fundi sana
View attachment 3204920
Source: Akaunti ya Mdude kwenye mtandao wa X.
Ugali wa Dona na sembe wote ni ugali,nguvu ya utendaji ni mbingu na ardhi!Kwani hilo bango linatatizo gani?.
Muache aweweseke,!Bango Hilo tafsiri yake, hakuna upinzani SM Na CDM ni sawa!Kaaulize maana ya narrow minded kama ni matusi.
Ni watu wenye uwezo mdogo .
The type of people who are not capable to think criticaly kama wewe.
Sio tusi hamna Matusi hapo.π€£π π€£π π΄π΄π€π€
Kuna hili bango linadaiwa kuonekana huko Dodoma katika Mkutano Mkuu wa CCM.
HIili bango kwangu ndio kaburi la Mbowe unless wakanushe
CCM wamekosa maarifa kwa kiasi kikubwa sana.
Sijui ni nani alishauri kitu kama hiki wakati huu Mbowe amechafuka.
Team Lissu sijui Mungu awape nini tena kwenye huu uchaguzi zaidi ya hili Bango.
Anayoyasema Lissu sasa yanatimia kwa vitendo.
Mungu fundi sana
View attachment 3204920
Source: Akaunti ya Mdude kwenye mtandao wa X.
π€£ π€£ π€£Mbowe na Raila Amollo Odinga tofauti yao ni majina tu. Con mans
Wewe ni team Mbowe na tunakujua kwahiyo hutusumbui.Kweli malumbano haya yametuonesha the deep side of thinking capacity ya watu! Kwani hii picha ni ya leo? Mbona kila mwenye akili na kufuatilia siasa za TZ anaijua? Leo ndiyo ilete kaburi?
salary jiepushe na simple issues kama hizi za Iron boys!
Mkuu huwezi kuijua akili ya mtu mpaka aongee au aandike. Huo ndio uwezo wake wa akili! ππππKweli malumbano haya yametuonesha the deep side of thinking capacity ya watu! Kwani hii picha ni ya leo? Mbona kila mwenye akili na kufuatilia siasa za TZ anaijua? Leo ndiyo ilete kaburi?
salary jiepushe na simple issues kama hizi za Iron boys!
Kafa kidhamiraKuna hili bango linadaiwa kuonekana huko Dodoma katika Mkutano Mkuu wa CCM.
HIili bango kwangu ndio kaburi la Mbowe unless wakanushe
CCM wamekosa maarifa kwa kiasi kikubwa sana.
Sijui ni nani alishauri kitu kama hiki wakati huu Mbowe amechafuka.
Team Lissu sijui Mungu awape nini tena kwenye huu uchaguzi zaidi ya hili Bango.
Anayoyasema Lissu sasa yanatimia kwa vitendo.
Mungu fundi sana
View attachment 3204920
Source: Akaunti ya Mdude kwenye mtandao wa X.