Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa: Hili Bango ndio kaburi la Mbowe

Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa: Hili Bango ndio kaburi la Mbowe

Kweli malumbano haya yametuonesha the deep side of thinking capacity ya watu! Kwani hii picha ni ya leo? Mbona kila mwenye akili na kufuatilia siasa za TZ anaijua? Leo ndiyo ilete kaburi?
salary jiepushe na simple issues kama hizi za Iron boys!
Ni mavi ya zamani ...lakini sasa ni Dhahabu....Politics ,is Who get what,When and How ✌️
 
Kweli malumbano haya yametuonesha the deep side of thinking capacity ya watu! Kwani hii picha ni ya leo? Mbona kila mwenye akili na kufuatilia siasa za TZ anaijua? Leo ndiyo ilete kaburi?
salary jiepushe na simple issues kama hizi za Iron boys!
Hata mimi nashangaa sana
 
Hayo si yapo hadi Mama kapiga na Lisu mabango yalitapakaa mtaani?
 
Kweli malumbano haya yametuonesha the deep side of thinking capacity ya watu! Kwani hii picha ni ya leo? Mbona kila mwenye akili na kufuatilia siasa za TZ anaijua? Leo ndiyo ilete kaburi?
salary jiepushe na simple issues kama hizi za Iron boys!
Haya maandishi yametoka kabisa kichwani mwako bro? Or let me put this way, "hiki ulicho kiandika, kinatoka kabisa kwenye moyo na akili yako na wewe mwenyewe unakiamini from the bottom of your heart"? Naulizs tu, sio kwa ubaya
 
Wewe ni team Mbowe na tunakujua kwahiyo hutusumbui.
1. Issue siyo timu Mbowe or Lisu, the issue(s) is " Is there sense in what you are trying to address?
Unasema Mbowe ni gaidi, fine, una ushahidi au ni revelations tu!

2. Lisu unasema utawakomboa watu wako, well and fine.. wazo zuri sana, nakuunga mkono.. and from that unamlaumu Mbowe kwa kuwa "laini", . Sasa Slaa wako , team wako, yuko mahabusu, hamasisha watu, nguvu ya umma waingie barabarani wavunje gereza wamtoe.................ndiyo siasa za mshike mshike ulizozinadi
 
Kweli malumbano haya yametuonesha the deep side of thinking capacity ya watu! Kwani hii picha ni ya leo? Mbona kila mwenye akili na kufuatilia siasa za TZ anaijua? Leo ndiyo ilete kaburi?
salary jiepushe na simple issues kama hizi za Iron boys!
Uko sahihi mzee mwenzangu! Kumbe CHADEMA tulikuwa tumejaza matakataka mengi uchaguzi huu umeyaumbua sana! Kwa akili yake anaona hiyo picha inaweza kumwangusha Mbowe! Sasa Mbowe ana uwezo gani wa kuzuia watu wasifanye publicity kwa mtazamo wao?
 
Retired zaman ulikuwa smart. Toka umeenda upande wa akina Ntobi naona wanakufundisha lugha za hovyo namna hii. Ndo mahaba ya Mbowe yanakufanya uwe hivi?
Not at all. mtu akinittukana nitamtukana bila kujali consequencies! Waambie hao /huyo niliyemjubu next time ajibu hoja na si matusi. Narrow minded ni matusi makubwa. nitakujibu na nitafungiwa potelea mbali. JF siyo oxygen..I can do without it!
 
Kuna hili bango linadaiwa kuonekana huko Dodoma katika Mkutano Mkuu wa CCM.

HIili bango kwangu ndio kaburi la Mbowe kwa wakati huu.

CCM wamekosa maarifa kwa kiasi kikubwa sana.

Sijui ni nani alishauri kitu kama hiki wakati huu Mbowe amechafuka.

Team Lissu sijui Mungu awape nini tena kwenye huu uchaguzi zaidi ya hili Bango.

Anayoyasema Lissu sasa yanatimia kwa vitendo.

Mungu fundi sana

View attachment 3204920

Source: Akaunti ya Mdude kwenye mtandao wa X.
Usijali lipo la Lissu linakuja na la heche pia
 
Uko sahihi mzee mwenzangu! Kumbe CHADEMA tulikuwa tumejaza matakataka mengi uchaguzi huu umeyaumbua sana! Kwa akili yake anaona hiyo picha inaweza kumwangusha Mbowe! Sasa Mbowe ana uwezo gani wa kuzuia watu wasifanye publicity kwa mtazamo wao?
Umeona eh! Good observation...yaani wapiga kura wakiona picha hiyo wanabadiri mawazo//// strange!
 
Nachoamini ccm hawataki wamuone mbowe akiendelea ndio mana wanapambana wakijifanya wako nae
 
Kweli malumbano haya yametuonesha the deep side of thinking capacity ya watu! Kwani hii picha ni ya leo? Mbona kila mwenye akili na kufuatilia siasa za TZ anaijua? Leo ndiyo ilete kaburi?
salary jiepushe na simple issues kama hizi za Iron boys!
Ni kweli hiyo picha ndogo sio ya leo, lakini hilo bango lililoambatanishwa na hiyo picha ndio kwenye kipengele hapo!!!
 
To hell, ukinitukana sitachagua tusi, nitakurudishia ninavyotaka. Kwani JF ni oxygen kuwa nikifungiwa nakufa? I can do without Jf for your information.....
Take a break from jf, you are losing it homeboy. Comeback after jan 21 with more focus and refreshed mind
 
Back
Top Bottom