Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Hiyo itakuwa akili matope kabisa! Yaani nibadilishe mawazo kwa kumwona Mbowe ameketi na Samia? Akili ya wapi hiyo!Umeona eh! Good observation...yaani wapiga kura wakiona picha hiyo wanabadiri mawazo//// strange!
Kweli malumbano haya yametuonesha the deep side of thinking capacity ya watu! Kwani hii picha ni ya leo? Mbona kila mwenye akili na kufuatilia siasa za TZ anaijua? Leo ndiyo ilete kaburi?
salary jiepushe na simple issues kama hizi za Iron boys!
Ndio siasaItakuwa ni kujipendekeza
Kwahiyo tulete na bango la Lisu na Samia Belgium?Hii sio simple issue, ni great issue of public concern, especially wale ambao wapo na critical minded.
Salary anatakiwa apongezwe kwa huu Uzi
Watu wenye narrow minded kama wewe mnaona Uzi huu hauna Maana.🤔🤔🤔🚴🚴🚴
Sasa wewe ni timu Lisu, yeye kuwa Team Mbowe ni jinai?Wewe ni team Mbowe na tunakujua kwahiyo hutusumbui.
CCM wamekosa maarifa kwa kiasi kikubwa sana.💪🏿Kuna hili bango linadaiwa kuonekana huko Dodoma katika Mkutano Mkuu wa CCM.
HIili bango kwangu ndio kaburi la Mbowe kwa wakati huu.
CCM wamekosa maarifa kwa kiasi kikubwa sana.
Sijui ni nani alishauri kitu kama hiki wakati huu Mbowe amechafuka.
Team Lissu sijui Mungu awape nini tena kwenye huu uchaguzi zaidi ya hili Bango.
Anayoyasema Lissu sasa yanatimia kwa vitendo.
Mungu fundi sana
View attachment 3204920
Source: Akaunti ya Mdude kwenye mtandao wa X.
Tupo kwenye kipindi gani ,usiongelee historiaKweli malumbano haya yametuonesha the deep side of thinking capacity ya watu! Kwani hii picha ni ya leo? Mbona kila mwenye akili na kufuatilia siasa za TZ anaijua? Leo ndiyo ilete kaburi?
salary jiepushe na simple issues kama hizi za Iron boys!
Ccm ina urafiki na Chadema tangu lini?Sawa nibya zamani. Lakini kama imepelekwa Dodoma kwenye mkutano wao unaoendelea wewe huoni kuna tatizo hapo?
Sijui kwanini hutaki kumuelewa mtoa mada. Hajakataa kuhusu hii picha wala bango. Tatizo nikwanini litokee muda huu kwenye mkutano mkuu wa CCM? Yeye anaona linamchafua Mbowe kutokana na tuhuma zinatolewa na oponents wake. Hilo nalo linahitaji certificate kuliewa.Kweli malumbano haya yametuonesha the deep side of thinking capacity ya watu! Kwani hii picha ni ya leo? Mbona kila mwenye akili na kufuatilia siasa za TZ anaijua? Leo ndiyo ilete kaburi?
salary jiepushe na simple issues kama hizi za Iron boys!
James mbowe kuna maisha nje ya siasa.Kweli malumbano haya yametuonesha the deep side of thinking capacity ya watu! Kwani hii picha ni ya leo? Mbona kila mwenye akili na kufuatilia siasa za TZ anaijua? Leo ndiyo ilete kaburi?
salary jiepushe na simple issues kama hizi za Iron boys!
Wenye akili wanajua kuwa hiii ni propaganda, hakuna uhalisia wowote na context ya mleta uzi kuwa bango hili litawabadilisha watu mawazo waliyonayo kuhusu Mbowe na yaliyosemwa na Lisu na kuwa kabiri la Mbowe! or even Lisu himself!Sijui kwanini hutaki kumuelewa mtoa mada. Hajakataa kuhusu hii picha wala bango. Tatizo nikwanini litokee muda huu kwenye mkutano mkuu wa CCM? Yeye anaona linamchafua Mbowe kutokana na tuhuma zinatolewa na oponents wake. Hilo nalo linahitaji certificate kuliewa.
Watu wamebeba siasa kama uadui, yaani kuna watu wameifanya siasa ya vyama vingi uadui, wasijue wanasiasa wanakutana private na kugonga cheers kabisa.Kweli malumbano haya yametuonesha the deep side of thinking capacity ya watu! Kwani hii picha ni ya leo? Mbona kila mwenye akili na kufuatilia siasa za TZ anaijua? Leo ndiyo ilete kaburi?
salary jiepushe na simple issues kama hizi za Iron boys!
Kwa hiyo unatumia picha kumhukumu mwenyekiti wako?Kuna hili bango linadaiwa kuonekana huko Dodoma katika Mkutano Mkuu wa CCM.
HIili bango kwangu ndio kaburi la Mbowe kwa wakati huu.
CCM wamekosa maarifa kwa kiasi kikubwa sana.
Sijui ni nani alishauri kitu kama hiki wakati huu Mbowe amechafuka.
Team Lissu sijui Mungu awape nini tena kwenye huu uchaguzi zaidi ya hili Bango.
Anayoyasema Lissu sasa yanatimia kwa vitendo.
Mungu fundi sana
View attachment 3204920
Source: Akaunti ya Mdude kwenye mtandao wa X.
Hivi huoni kama ni maarifa hayo? Mpaka chadema wanantukanana wenyewe kwa wenyewe, don't you see kwamba ni magenius...maarifa gani mnataka nyie watu?CCM wamekosa maarifa kwa kiasi kikubwa sana.💪🏿
Akili kisoda hao jamaa.CCM wamekosa maarifa kwa kiasi kikubwa sana.💪🏿
Hii sio ya maridhiano yenye tuhuma za mlungula kama.ile ya Mbowe.